Bomu lililorushwa kwenye hospitali ya Gaza lilmetengenezwa Marekani ni MK-84

Kikubwa kama cha bi mkubwa wako uwa nakioenda sana…

Teh Teh teh
Natamatisha kabla sijaendelea upeo wako ndipo ulipoishia hapa.

Bi mkubwa wangu anahusikaje hapa?
 
Pamoja na kupigwa kote huko utakuta wapalestina bado wanaendelea tu kukaza mafuvu na kuendelea kupigana eti
Huo unyama wamekuwa wanafanyiwa kwa miaka 75 , labda kama hujui hali ya huo mgogoro , wa ki lipiza kisasi kwa kupiga Jihad attacks na kuwachinja hao wayahudi feki mnaanza kusema Hamas wakorofi mara wapalestina magaidi
 
Kwa asili ya akili za muarabu,100 percent watakuwa wanafanya haya.

Even hiyo hospital tunayoambiwa imelipuliwa na bomu wanaweza kuwa wao ndiyo walitengeneza tukio ili dunia ipaze sauti kwamba Israel inauwa raia hata wakiwa sehemu salama mashambulizi yapungue ili wajipange kwenda kujitoa muhanga tena,hao watu akili zao ni za kipekee wana kama aina ya uwendawazimu kama siyo hela za mafuta hata sisi weusi tungekuwa smart kuwazidi.
 
Natamatisha kabla sijaendelea upeo wako ndipo ulipoishia hapa.

Bi mkubwa wangu anahusikaje hapa?
Unaanzisha vita kisha unachagua silaha za adui?
Ukija kistarabu kwangu utajibiwa kistarabu ukija kihuni utajibiwa kihuni huo ndiyo utaratibu wangu miaka yote JF.

Wapuuzi kama nyie ndiyo huwa mnachafua mijadala unajifanya unajia maneno sasa hivi utajibu kistaraabu bakora imekuingia..
 
Mjadala umechafuliwaje na comment zangu?
Broo kama una stress zako you better go away,not all of us are idiot like you,asshole
 
Sawa tu ila Hamas hawatarudia kujichomoa akili tena for centuries
kwahiyo hospitali kulikua na hamasi pale, kwa mujibu wa yericko nyerere matako ni spika ya tumbo, kwanini israel wasifanye ground invasion wawapige risasi hamasi tu, wanarusha mabomu kama maembe kila sehemu facken kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…