Bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo(23) amchakaza mzungu

Nimeona video kwenye whastp ila yule mkalimani wake, kampoteza sana.
 
Heading yako imekaa kiubaguzi wa rangi!
 
Nimetoka na kitu kizuri sana leo kwenye jf, kweli ni sehemu ya kupeana elimu.
 
Bondia wetu ajitahidi sana kujifunza kiingereza la sivyo Mkalimani Wa huyu bondia wetu atafanya wote waonekane wahuni tu. Haiwezekani mkalimani awe anatafsiri vitu ambavyo bosi wake hajasema

View attachment 861793
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimecheka sana aiseee
 
Good fight the guy went on the attack and never stopped
 
Huyo mtanzania ni shujaa. Hana uwoga uwoga kama ya wengine wao humu jf
 
Huyo mtanzania ni shujaa. Hana uwoga uwoga kama ya wengine wao humu jf
Samahani huyu kwasababu ameshinda ni kutoka East Africa, ile angepigwa angekua mtanzania [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…