Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Simba wamefuzu hatua ya makundi na mbwembwe hazikuwa kubwa sana kwa sababu ni kawaida yetu, sasa nashangaa Yanga kufuzu kwenye Kombe la Losers wamejichelewesha makusudi kurud bongo ili wapate 'attention', yaani unashangilia hadi unawehuka kwa kufuzu makundi ya losers?
Nyie kweli kiboko.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Nyie kweli kiboko.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app