Bongo bwana, yaani walioingia Shirikisho - Losers wanashangilia na kutukana utadhani wamefuzu Ligi ya Mabingwa

Bongo bwana, yaani walioingia Shirikisho - Losers wanashangilia na kutukana utadhani wamefuzu Ligi ya Mabingwa

Ukiwa na akili timamu utagundua wanachoshaingilia Yanga sio kuingia hatua ya makundi. Wanalipiza masimango ya kabla ya mechi vile watu walivyowatabiria kipigo cha aibu.

UKIWA NA AKILI TIMAMU LAKINI.
Aliyekuwa anawatabiria yanga mabaya baada ya mechi ya kwanza ni washabiki hao hao ambao walijazana airport
 
Hivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?

Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!

Let them enjoy bhana! Life is too short
Ila shirikisho sio kombe la loser sawa?
 
Simba wamefuzu hatua ya makundi na mbwembwe hazikuwa kubwa sana kwa sababu ni kawaida yetu, sasa nashangaa Yanga kufuzu kwenye Kombe la Losers wamejichelewesha makusudi kurud bongo ili wapate 'attention', yaani unashangilia hadi unawehuka kwa kufuzu makundi ya losers?

Nyie kweli kiboko.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Hili linadhihirisha utoto wako?hukumbuki Brazil 1994 alichukua world cup mbele ya Italy kwa penalty????
Tatizo lenu ni kukurupuka! Mimi nimesema Yanga mdiyo timu ya kwanza kutokea Tanzania kumfunga Mwarabu kwenye ardhi yake ya nyumbani!
Nyinyi mnakuja na porojo za timu yenu kuitoa Zamaleki! Sijui Brazil kuchukua world cup!


Yaani mnajifanya mna akili, halafu mnashindwa kutofautisha kati ya ushindi wa magoli ndani ya dakika 90, dhidi ya ule wa changamoto ya mikwaju ya penati.
 
Kwan Zamalek alifungwa wap we utopolo
Mbona hamtaki kutaja idadi ya magoli! Badala yake mnatukana tu!

Hao Zamalek mliwafunga goli ngapi kwao? Yanga amemfunga Club Africaine 0-1 na kumtoa rasmi kwenye harakati za kuingia hatua ya makundi!
 
Tatizo lenu ni kukurupuka! Mimi nimesema Yanga mdiyo timu ya kwanza kutokea Tanzania kumfunga Mwarabu kwenye ardhi yake ya nyumbani!
Nyinyi mnakuja na porojo za timu yenu kuitoa Zamaleki! Sijui Brazil kuchukua world cup!

Yaani mnajifanya mna akili, halafu mnashindwa kutofautisha kati ya ushindi wa magoli ndani ya dakika 90, dhidi ya ule wa changamoto ya mikwaju ya penati.
Wewe una akili kweli?unanipa wasiwasi sasa basi simba walifungwa na zamalek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli pale wenye akili wawili tu.


Ushindi wa penat sio ushindi?
Dah,nchi ngumu kweli kweli.....
 
Hivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?

Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!

Let them enjoy bhana! Life is too short

Nakukumbusha tu,
1° De Agosto wapo nafasi ya 28 katika rank ya vilabu bora barani Africa

Club Africain wapo nafasi 47, Yanga nafasi ya 74

Mpaka hapo unaweza kuelewa ipi ilikuwa mechi ya vibonde
 
Nakukumbusha tu,
1° De Agosto wapo nafasi ya 28 katika rank ya vilabu bora barani Africa

Club Africain wapo nafasi 47, Yanga nafasi ya 74

Mpaka hapo unaweza kuelewa ipi ilikuwa mechi ya vibonde
Unadhani wanaelewa sasa? Tuwaombee mwiko utoke nyuma.
 
Wewe una akili kweli?unanipa wasiwasi sasa basi simba walifungwa na zamalek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli pale wenye akili wawili tu.


Ushindi wa penat sio ushindi?
Dah,nchi ngumu kweli kweli.....

Kwa hiyo kama Said Bahanuzi angefunga kwenye ile penati ya mwisho kule Misri, ungesema Yanga wameifunga Al Ahly!!

Au ungesema Yanga imefuzu hatua inayofuata kwa kuitoa Al Ahly kupitia mikwaju ya penati? Vijana wa siku hizi ujuaji mwingi, halafu kichwani hamna kitu.
 
Hivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?

Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!

Let them enjoy bhana! Life is too short
Kati ya Zalan na nyasa big bullet nani kibonde
 
Simba wamefuzu hatua ya makundi na mbwembwe hazikuwa kubwa sana kwa sababu ni kawaida yetu, sasa nashangaa Yanga kufuzu kwenye Kombe la Losers wamejichelewesha makusudi kurud bongo ili wapate 'attention', yaani unashangilia hadi unawehuka kwa kufuzu makundi ya losers?

Nyie kweli kiboko.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
footbal is all about fun mkuu. mtu mwenye akili timamu hawezi kumpangia mtu mwingine mwenye akili timamu namna ya kufurahia jambo au kuhuzunika
siyo kila kitu lazima kilinganishwe.... sote tunajua kuna washambuliaji tena wakubwa tu wanafunga magoli na hawashangilii wengine wanavua mpaka mashati
 
Achana nao hao vilaza ,yaan wanavyoongea unaweza dhani wanaifunga Simba kila wanapokutana.
Mechi ya juz tu walizidiwa kila kitu na kutaman mpira uishe .
Sikumbuki ni lini yanga ilimzid Simba kitakwimu pale wanapokutana .
Pia sikumbuki ni lini yanga kamfunga Simba kwenye ligi ukitoa fa ambayo naweza sema ni ufunguz wa lig .
Yaan Hawa Jamaa ni vilaza wa kutupwa wamejificha kwenye ujinga oooh tunawapiga kila cku ,unaijua kila cku wewe mavi
Baeleezee wanakera na hyo ya kupiga kila siku yani wanaigana kila mtu akija point ni hyo hyo. Mfano leo pia wamempiga simba,jana wamempiga simba maana ndo definition ya kila siku hyo.
 
Moja ya historia maya na isiyofutika ni tukio la kuwanga hadharani tena katikati ya uwanja. Sasa hayo yote ni ya nn ikiwa kombe lenyewe ni la losers?
 
Back
Top Bottom