Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
- Thread starter
- #41
Kuna waarabu na kuna Punjiri, wale ni PunjiriHivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?
Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!
Let them enjoy bhana! Life is too short
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app