Aliyekuwa anawatabiria yanga mabaya baada ya mechi ya kwanza ni washabiki hao hao ambao walijazana airportUkiwa na akili timamu utagundua wanachoshaingilia Yanga sio kuingia hatua ya makundi. Wanalipiza masimango ya kabla ya mechi vile watu walivyowatabiria kipigo cha aibu.
UKIWA NA AKILI TIMAMU LAKINI.
Ila shirikisho sio kombe la loser sawa?Hivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?
Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!
Let them enjoy bhana! Life is too short
Simba wamefuzu hatua ya makundi na mbwembwe hazikuwa kubwa sana kwa sababu ni kawaida yetu, sasa nashangaa Yanga kufuzu kwenye Kombe la Losers wamejichelewesha makusudi kurud bongo ili wapate 'attention', yaani unashangilia hadi unawehuka kwa kufuzu makundi ya losers?
Nyie kweli kiboko.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu! Badala ya kunijibu kwa data, mnakimbilia kwenye kejeli, matusi, nk.Basi umri wako ni mdogo sana
Hii ndiyo sifa yenu kubwa. Kutukana. Uwezo wa kujenga hoja, hamna. Halafu mkiitwa mbumbumbu, mnakasirika.Ukishatoa mwiko ndio utajua unachobwabwaja hakina mantiki,labda umevimbiwa mihogo
Tatizo lenu ni kukurupuka! Mimi nimesema Yanga mdiyo timu ya kwanza kutokea Tanzania kumfunga Mwarabu kwenye ardhi yake ya nyumbani!Hili linadhihirisha utoto wako?hukumbuki Brazil 1994 alichukua world cup mbele ya Italy kwa penalty????
Ndio nini?umepanic?Alivyomtoa zamalek halafu akawa yeye bingwa na kombe akachukua ?
Mbona hamtaki kutaja idadi ya magoli! Badala yake mnatukana tu!Kwan Zamalek alifungwa wap we utopolo
Wewe una akili kweli?unanipa wasiwasi sasa basi simba walifungwa na zamalek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo lenu ni kukurupuka! Mimi nimesema Yanga mdiyo timu ya kwanza kutokea Tanzania kumfunga Mwarabu kwenye ardhi yake ya nyumbani!
Nyinyi mnakuja na porojo za timu yenu kuitoa Zamaleki! Sijui Brazil kuchukua world cup!
Yaani mnajifanya mna akili, halafu mnashindwa kutofautisha kati ya ushindi wa magoli ndani ya dakika 90, dhidi ya ule wa changamoto ya mikwaju ya penati.
Hivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?
Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!
Let them enjoy bhana! Life is too short
Unadhani wanaelewa sasa? Tuwaombee mwiko utoke nyuma.Nakukumbusha tu,
1° De Agosto wapo nafasi ya 28 katika rank ya vilabu bora barani Africa
Club Africain wapo nafasi 47, Yanga nafasi ya 74
Mpaka hapo unaweza kuelewa ipi ilikuwa mechi ya vibonde
Wewe una akili kweli?unanipa wasiwasi sasa basi simba walifungwa na zamalek [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli pale wenye akili wawili tu.
Ushindi wa penat sio ushindi?
Dah,nchi ngumu kweli kweli.....
Kati ya Zalan na nyasa big bullet nani kibondeHivi katika hali ya kawaida kabisa! Unafuzu hiyo hatua kwa kuwafunga vibonde kama Nyasa Big Bullets na De Agosto! Huo ujasiri wa kushangilia, unaupata wapi?
Lakini wananchi wamewaondoa Waarabu, ambao mnawaogopa kweli kweli! Tena wameenda kufungwa nyumbani kwao! Jambo ambalo hata nyinyi hamkuwahi kulifanya!
Let them enjoy bhana! Life is too short
Wakati mwingine uwe unafikiria kwanza kabla ya kuuliza.Kati ya Zalan na nyasa big bullet nani kibonde
footbal is all about fun mkuu. mtu mwenye akili timamu hawezi kumpangia mtu mwingine mwenye akili timamu namna ya kufurahia jambo au kuhuzunikaSimba wamefuzu hatua ya makundi na mbwembwe hazikuwa kubwa sana kwa sababu ni kawaida yetu, sasa nashangaa Yanga kufuzu kwenye Kombe la Losers wamejichelewesha makusudi kurud bongo ili wapate 'attention', yaani unashangilia hadi unawehuka kwa kufuzu makundi ya losers?
Nyie kweli kiboko.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wewe huna tofauti na Ashura cheupe
Baeleezee wanakera na hyo ya kupiga kila siku yani wanaigana kila mtu akija point ni hyo hyo. Mfano leo pia wamempiga simba,jana wamempiga simba maana ndo definition ya kila siku hyo.Achana nao hao vilaza ,yaan wanavyoongea unaweza dhani wanaifunga Simba kila wanapokutana.
Mechi ya juz tu walizidiwa kila kitu na kutaman mpira uishe .
Sikumbuki ni lini yanga ilimzid Simba kitakwimu pale wanapokutana .
Pia sikumbuki ni lini yanga kamfunga Simba kwenye ligi ukitoa fa ambayo naweza sema ni ufunguz wa lig .
Yaan Hawa Jamaa ni vilaza wa kutupwa wamejificha kwenye ujinga oooh tunawapiga kila cku ,unaijua kila cku wewe mavi
Sina akili ya hovyo kiasi hicho!Ndio nini?umepanic?
Mihogo looser