Bongo chenji tunazopeana ni kama tunakomoana

Bongo chenji tunazopeana ni kama tunakomoana

Ukipokea chenchi kutoka kwa wauza mkaa, wauza miguu ya kuku barabarani na mama lishe.
 
Jaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii.

pxl_20240725_062803746-jpg.3051383
View attachment 3051394

Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮
Tatizo linaanzia kwenye quality, BOT kuna upigaji kwenye hii kandarasi.

Halafu mpaka leo majitu mengi hayajui kama pesa inahifadhiwa kwenye wallet, Wamasai wanatembeza wallet mitaani buku tano tu lakini unakuta kuna jitu bado linahifadhi pesa kwa kuzikunjakunja.
 
Aise kama mikoani unakuta unaludishiwa chenji Hela imechakaa mbaya tofauti na dar cjui kwann
 
Ukipokea chenchi kutoka kwa wauza mkaa, wauza miguu ya kuku barabarani na mama lishe.
Hizi chenji zote nimepokea kwenye mwendokasi na zote nimeeanda kuzitumia hapohapo wanashindwa kujiongeza kupunguza hela zilizochakaa kwa kupeleka bank wenyewe wanazirudisha kwenye mzunguko
 
Tatizo linaanzia kwenye quality, BOT kuna upigaji kwenye hii kandarasi.

Halafu mpaka leo majitu mengi hayajui kama pesa inahifadhiwa kwenye wallet, Wamasai wanatembeza wallet mitaani buku tano tu lakini unakuta kuna jitu bado linahifadhi pesa kwa kuzikunjakunja.
Kwa mfano bongo Dola zinakuwa katika mazingira mazuri sababu sehemu wanazopokea hawapokei zilizochakaa hii inatengeneza wajibu wa kutunza hela
 
Nilipewa Dola 40 na rafiki yngu wa Nje ya Nchi nikapeleka bank nikabadirishe wakazikataa walisema zimechakaa

Wakati Hela zetu zilizo chakaa sana wanazipokea niliwqaza sana. Nikarudi Kwa jamaa nikamwambia nipe mpya hizi wamekataa kubadirisha wamesema zimechakaa. Akashangaa sana
 

Attachments

  • IMG_20240705_170743_325.jpg
    IMG_20240705_170743_325.jpg
    395.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom