Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ukipokea chenchi kutoka kwa wauza mkaa, wauza miguu ya kuku barabarani na mama lishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo linaanzia kwenye quality, BOT kuna upigaji kwenye hii kandarasi.Jaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii.
View attachment 3051394![]()
Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮
Hizi chenji zote nimepokea kwenye mwendokasi na zote nimeeanda kuzitumia hapohapo wanashindwa kujiongeza kupunguza hela zilizochakaa kwa kupeleka bank wenyewe wanazirudisha kwenye mzungukoUkipokea chenchi kutoka kwa wauza mkaa, wauza miguu ya kuku barabarani na mama lishe.
Takataka🚮Unataka Hela nzuri kwani wewe ni mwanamke
Sehemu zote tatizo ni sameAise kama mikoani unakuta unaludishiwa chenji Hela imechakaa mbaya tofauti na dar cjui kwann
Nyingine inachezeshewa pata potea kweny wale wa vimbaonoti inawekwa kwenye maziwa ya akina mama, inakunjwa kunjwa kwenye kanga, inawekwa kwenye kibubu na kuvutwa kwa mkasi
Kwa mfano bongo Dola zinakuwa katika mazingira mazuri sababu sehemu wanazopokea hawapokei zilizochakaa hii inatengeneza wajibu wa kutunza helaTatizo linaanzia kwenye quality, BOT kuna upigaji kwenye hii kandarasi.
Halafu mpaka leo majitu mengi hayajui kama pesa inahifadhiwa kwenye wallet, Wamasai wanatembeza wallet mitaani buku tano tu lakini unakuta kuna jitu bado linahifadhi pesa kwa kuzikunjakunja.
GoojaraSorry, Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
Bora huko,wahalifu wanavoingia nazo jela/selo ndio balaa,halafu ipo siku inakua ndio chenji.noti inawekwa kwenye maziwa ya akina mama, inakunjwa kunjwa kwenye kanga, inawekwa kwenye kibubu na kuvutwa kwa mkasi
Shukrani sana...🤝Goojara
Nimependa hii.Pesa sio maua wala mapambo na inachakaa. Ukipata pesa usikae nayo fanya izunguke uzalishe nyingine.
Mmh, hiyo hela si unapata chapati 6 za kushiba? Acha dharauJaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii.
View attachment 3051394![]()
Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮