Bongo chenji tunazopeana ni kama tunakomoana

Bongo chenji tunazopeana ni kama tunakomoana

Nilipewa Dola 40 na rafiki yngu wa Nje ya Nchi nikapeleka bank nikabadirishe wakazikataa walisema zimechakaa

Wakati Hela zetu zilizo chakaa sana wanazipokea niliwqaza sana. Nikarudi Kwa jamaa nikamwambia nipe mpya hizi wamekataa kubadirisha wamesema zimechakaa. Akashangaa sana
Siyo kuchakaa tu, dollar zina expire date pia.

Kwa Dar sehemu unayoweza kuchange dollar ya aina yoyote kuna bereau de change moja tu ipo mtaa wa zanaki pale nilichenji dollar zilizopita muda wake.
 
Jaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii.

pxl_20240725_062803746-jpg.3051383
View attachment 3051394

Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮
Mgeni atajua hajui hii ndio bongo sasa ,,akishangaa sana unamuuliza pesa huko kwenu hazichakai? Hii itakuwa babu kubwa the Real bongo
 
Serekali iweke utaratibu kuwa pesa iliyokunjwa na kutengeneza mistari haifai kwa manunuzi na badala yake ipelekwe bank na mwenye pesa hiyo atakatwa makato fulani akipeleka buku atarudishiwa 900 ili tuanze kuzitunza kama dollar
 
Hizo hela hazitakiwi kuwa kwenye mzunguko
Bora watengeneze za plastic maana makaratasi yamepitwa na wakati au kuna mchezo mchafu huko
Yaani zilikuwa ziwe recycled ila zinarudishwa kiaina
 
Hizo hela hazitakiwi kuwa kwenye mzunguko
Bora watengeneze za plastic maana makaratasi yamepitwa na wakati au kuna mchezo mchafu huko
Yaani zilikuwa ziwe recycled ila zinarudishwa kiaina
Au wapunguze makato tuhamie kwenye e-money paperless mwendo wa kuchanja
 
Jaribu kufikiria unafanya malipo kwa hela nzuri na safi afu unaturudishiwa chenji kama hii.

pxl_20240725_062803746-jpg.3051383
View attachment 3051394

Kwa Mgeni kutoka mataifa mengine anaweza kuona umemdharau kwa kumpa uchafu yaani Takataka 🚮
HIYO NI KAZI YA BENKI KUU LAKINI HAWAJUI KAZI ZAO WANAUPIGA MWINGI NOTI ZOTE KUUKUU ZIKENDA BANK ZISIRUDI TENA LAKINI MPAKA PESA UNAONA KINYAAA>
 
Au wapunguze makato tuhamie kwenye e-money paperless mwendo wa kuchanja
Ni wazo zuri sana ingawa fedha taslimu bado zitakuwepo
Yaani mimi sijui mazoea au nini
Kila wakati lazima niwe na cash mfukoni ingawa kila sehemu wana accept card na ninazo 5 kwa ujumla
Au uzee 😄 🤣
Napenda utumiaji wa cash zaidi
 
Kuna hali Fulani ikifika inakuwa too much hiyo hela ukiweka mfukoni inachanika kirahisi sana
Kama tungekuwa tunazitumia bila kuzikunjakunja, au kuziweka sehemu mbichi zenye unyevu, vumbi joto kali,mfukoni hadi tunazifua zingekuwa hazichakai kirahisi.
 
Huwa najiuliza wale wanaopita na vispika mtaani wananunuwa pesa mbovu huwa wanazipeleka wapi na kwa matumizi gani?
wanapeleka BOT wanabadilishiwa kwa thamani ile ile. Yaani kwako anachukua 1000/- mbovu kwa 200/- kule anapewa 1000/-
 
wanapeleka BOT wanabadilishiwa kwa thamani ile ile. Yaani kwako anachukua 1000/- mbovu kwa 200/- kule anapewa 1000/-
Kumbe ni biashara nzuri! Acha nijiajiri hapa
 
Back
Top Bottom