Bongo Flava ya sasa ni uozo mtupu

Lugha yao ilikuwa na staha sana..

Walitumia sanaa yao vizuri..

Sio hawa wa sasahivi wanachana waziwazi..

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kama utakuwa unafikiri vizuri,utaona tofauti kati ya wimbo wa matusi na wimbo wa mapenzi.

Siwalaumu sana wasanii wa sasa kwa vile wengi IQ yao ni ndogo.Badala ya kuimba nyimbo za mapenzi kama walizoimba wanamuziki wa zamani,mfano Marijani,na wengine wengi,wao wanaimba matusi live.Sijui nataka muhogo,ingiza yote,sijui nasikia utamu nikimumunya..na ujinga kama huo.

Ninachoona kwa wengine kama sisi,inanisaidia sana kuishi kwa utulivu masaa mengi kwa vile sifungui Redio na nikuwasha TV kama ni lazima ninai mute tu na kusibiria taarifa ya habari ama vipindi vya kuelimisha.

Nyie endeleeni tu sie wengine tulishaacha kusikiliza
 

Wewe kuangalia taarifa ya habari does not mean you are intelligent than the rest.

Kila mtu atakula alikopeleka mboga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…