Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Sambinyakwe kitololo

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2022
Posts
2,419
Reaction score
2,940
Nimeenda duka la simu kuulizia kitu fulani, mwenye duka alishakuwa maarufu ndiyo maana niliagiziwa pale, nimeshangaa sana yuko makini na Instagram, hanisikilizi. Mara ana 'screenshot' Instagram anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi.

Hivi tutafika kweli kwa mtindo huu? Kwamba duka kujaa vitu anadharau elfu 30 yangu. Hivi Wabongo kuwa na ka duka ka spea za simu, simu mpya/zilizotumika, chaja n.k unaona kama Dunia yote yako? Dah! Imeniuma sana.

Hivi matajiri wenzetu huko mambele na wenyewe wanadharau? Ile kukudharau sababu unanunua labda 'earphone' za elfu 5, hajui pesa ndogo na kubwa ndiyo zimemfanya afikie hapo kwa sasa.
 
Ishanitokea Mwenge miaka ya 2008-10 duka la nguo barabara ya tra, nilipenda kitu pale ila nilighairi manunuzi. Cha kufanya ni kuahirisha manunuzi aikose pesa yako. Uzuri/ubaya biashara za namna hii hazina maisha endelevu, mtafute miaka 3-5 baadae yupo chali, wachache sana wanaodumu kuvuka kizingiti hiki.
 
Ishanitokea Mwenge miaka ya 2008-10 duka la nguo barabara ya tra, nilipenda kitu pale ila nilighairi manunuzi. Cha kufanya ni kuahirisha manunuzi aikose pesa yako. Uzuri/ubaya biashara za namna hii hazina maisha endelevu, mtafute miaka 3-5 baadae yupo chali, wachache sana wanaodumu kuvuka kizingiti hiki.
Inabidi niende tu no way nikishanunua nitamchana live
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Umeandika gazet nimesoma Hadi ulipoanza andika weye nikaacha naona Ni utumbo tu
 
unaelewa nini ukisikia "a bird at hand worthy two in bush"?
Mbona misemo ya kizamani sana hii wewe bado unaitumia sasa ngoja nikusaidie kwa walio iona haifai wakaachana nayo sikia....hata weye mwenyewe ukifikiria tu km ivi.....

A flying bird at hand, worthy Infinitesimal than unseen giant Buffaloes dat can feed ma entire villagers!....to value and enjoy a single bird at hand is untold selfishness!

Somethin which is absolutely un measure able, insanitariest! to value un seen poverties! en you're comfortable of it , en use it as your day todays jargon to guide your life!

Above all U're enjoyin' it insignificantly! just b'se it won't satisfy you personal hunger as well as whole family dwellers en friends! hence u' need assistance to move forward!
 
Maskini sijui mna matatizo gani!! mlipo ambiwa mteja Mfalme Baaaasi mnakuwa na bichwa sana!! sasa weye umemkuta akiongea kitu simuni, unataka amkatize mteja mwingine wa simuni akusikilize weye dats ''rubbish thinking!

Mana mizizi ya wivu sana wabingo nyie hasa mtu akiwa na kishavu dodo mnamuonea wivu wa kichawi chawi sana ....niamaini mimi mwana JF ukikua weye/zeeka utakuwa mchawi lazima!

haya haya!! ukifika Hospital unataka wanaotibiwa waachwe ila usikilizwe weye tu! wakikuacha kwanza, unakimbilia kwa diwani kushtaki! eti dr amenidharau! miafrica sijui mkoje hamana common sense!

ukikuta watu kwa foleni huyo unawavuka unataka kuwa wa kwanza weye!! daladala ndo kabisaaa!! lkn wengine tena nchi ndogo tu km Lesotho wateja wanapanga mstari!!

wa kwanza ndo wa kupewa kipaumbele hata iweje! wateja wenyewe wanajitaja wa kwanza yuleee braza , karibu upate huduma!! maujinga jinga haya yako Bongo/ kwa wabongo msiosoma!

Kitu kidoogo hiko!! unashindwa kuvumilia, by the way si una hela yako mkononi nenda kwingine kwani umelazimishwa kwenda kununua pale??? au ulitaka kumsiliba tu jamaa ajili ya wivu wako wa kukosa??

weye jamaa sidhani km unaweza oa, au kuishi na wasomi waliokuzidi, hela/maarifa.uzuri/urembo/usasa huwezi amini ivo! mnajulikana kirahisi tu! weye mtu humjui unam- cralify kijinga jinga tu! mwee! ndo bongo mlivo!

alikulazimisha kuwa ununue pale tuu??? Neno mteja Mfalme wabongo msiokuwa na akili lina walevya sana mmeshatamani afilisike!!! na kumombea mabaya,

Hafilisiki n'gooo! ndo atazidi kupanda ngazi ya utajiri na hamtakaa mumuone hapo Mazogoroni akisaga Lami kamwe saaana mtamuona akiwa juu na juu zaidi!! Nyau weye!.......ukimshika mkeo ugoni si utakufa kabla!!

Bila kujua kuwa ile ni mali yake! aweza tumia atakavyo!!......hutaki bwaga Manyanga kwani umelazimishwa??? JF ninzuri kwa sababu bila hii tusinge jua wajinga km weye!!......

si umeze sumu tu! km unaona hajakuchekea! mfyuuuuxcxvxnxxmxmxzoo! mjifunzege kuzipunguzia saver za Jf MIZIGO!
Tafadhali wahi hospitali ya Mirembe upesi, naona afya yako ya akili sio nzuri.
 
Umeandika gazet nimesoma Hadi ulipoanza andika weye nikaacha naona Ni utumbo tu
Ni kawaida ya wapumbavu! hawajui kuwa utumbo ni chakula na ukichanganywa na Mtori!! mashallah!!
Tafadhali wahi hospitali ya Mirembe upesi, naona afya yako ya akili sio nzuri.
Ndo majibu ya maskini wengi! mkija tuna wa damp tu! hiyo si dawa!
raha tupu!
 
Ishanitokea Mwenge miaka ya 2008-10 duka la nguo barabara ya tra, nilipenda kitu pale ila nilighairi manunuzi. Cha kufanya ni kuahirisha manunuzi aikose pesa yako. Uzuri/ubaya biashara za namna hii hazina maisha endelevu, mtafute miaka 3-5 baadae yupo chali, wachache sana wanaodumu kuvuka kizingiti hiki.
Itakuwa Bon 2 Shine
 
Mental
 

Attachments

  • 535225.jpg
    535225.jpg
    19.3 KB · Views: 8
Wengi Tumetokea kwenye mashimo ya kimaskini hii ndo sababu.
Hatuwataki bana! sawa walitoka huko kunako umaskini lkn sasa hawapo! huko umaskinini njooo nunua fuata sheria za pale siyo uje eti wewe mteja ni mfalme ulete huo ufalme kwangu nyoooo utakoma nakwambia!
 
Back
Top Bottom