KABISA KABISA TENA UKUTE MSUKUMA, NYAMWEZI , MWARABU YAANI KANDA YA ZIWA NI BALAA TUPO .WAPEMBA NAONA SASA WANAANZA KUWA JEURI. STOP IT!!!!!!Wahindi wengi wana customer care nzuri sana tofauti na baadhi ya sisi waswahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KABISA KABISA TENA UKUTE MSUKUMA, NYAMWEZI , MWARABU YAANI KANDA YA ZIWA NI BALAA TUPO .WAPEMBA NAONA SASA WANAANZA KUWA JEURI. STOP IT!!!!!!Wahindi wengi wana customer care nzuri sana tofauti na baadhi ya sisi waswahili.
Kudanga ni kipaji! weye huwezi! Mjinga akikuita mjinga ni sifa! ......nigejisikia vibaya km ningesifiwa na wajinga, wanaoamini kila mteja ni Mfalme!Usifikiri kila mtu ni mdangaji kama wewe mkuu. Watu wako na mishe zao ndo maana wamekuacha peke yako. We unaona fahari kila mtu kukuacha na ujinga wako?
Jamani sura zingine na majina vinatisha!! sasa mjisura km huu wa vishu mtata, hata watoto/wanafunzi wanaopita barabarani wakiiona wanaikimbia/lia tu...au mtu km huyu kweli eti anipe Lift jamani ntapanda kweli??Umeona kimya umeanza kufukua reply za nyuma.
We kweli hamnazo, tafuta kazi ufanye mkuu. Hii kubishana jf sifhani kama inakuongezea chochote.
Wameniogopa mkuu! mantiki tupu! make nimeweka waziiiiindo maana wamekuacha peke yako