Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Wahindi wengi wana customer care nzuri sana tofauti na baadhi ya sisi waswahili.
KABISA KABISA TENA UKUTE MSUKUMA, NYAMWEZI , MWARABU YAANI KANDA YA ZIWA NI BALAA TUPO .WAPEMBA NAONA SASA WANAANZA KUWA JEURI. STOP IT!!!!!!
 
Usifikiri kila mtu ni mdangaji kama wewe mkuu. Watu wako na mishe zao ndo maana wamekuacha peke yako. We unaona fahari kila mtu kukuacha na ujinga wako?
Kudanga ni kipaji! weye huwezi! Mjinga akikuita mjinga ni sifa! ......nigejisikia vibaya km ningesifiwa na wajinga, wanaoamini kila mteja ni Mfalme!
 
Hata wafalme wengi tu wanapinduliwaga sana tu!! ......Mungu mwenyewe na ubabe wake woote alisema namnukuu ''siyo kila aniitaye Bwana Bwana ataingia ktk ufalme wa Mbinguni'' ....inamaana kuna ambao hawamkubali mpaka leo!

weye ni mfalme wa aina gani upende/upendwe na kila mtu eti kisa Mfalme?? mengine kubali yapite ivi!.......na ndivo ilivo hata uwabebe Mgongoni! utaishia kuwa na stress tu!

kwa sababu wewe/yeye ana mapungufu yake ambayo mmoja wenu anaweza asiyakubali na ndo ukweli hata usemeje!......km Baba/mtoto wanatofautina!! wewe mfalme gani usitofautiane na wenzio??

Muuza siyo Malaika. wala weye siyo malaika, lolote anaweza fanya na usilipende,.... Vumilia au ondoka Basi ndo kanuni ya maisha,...siyo unalia lia weee! rileta mada halina uvumilivu kwa hiyo halifai kuigwa kwa jamii!!

jiulize tu kwa nini wewe na si wengine huoni kuwa una Mapungufu??
 
Umeona kimya umeanza kufukua reply za nyuma.
We kweli hamnazo, tafuta kazi ufanye mkuu. Hii kubishana jf sifhani kama inakuongezea chochote.
Jamani sura zingine na majina vinatisha!! sasa mjisura km huu wa vishu mtata, hata watoto/wanafunzi wanaopita barabarani wakiiona wanaikimbia/lia tu...au mtu km huyu kweli eti anipe Lift jamani ntapanda kweli??

Ok! km haitoshi wewe kwa avatar yako hiii! hiii! tusiende mbali ukikutana na Polisi Patrol usiku! hasa! hasa Masaki/Posta/Mbezi beach.Sinza nk! huchomoki! hakika nakwambia hubakiii salama wataondoka na wewe tu!

au ukikaa Bar! ikavamiwa na majambazi nakwambia mkuu huchomoki! utaminywa mbupu mpaka ukome!

na huko lazima wakutie vitasa tu!........hkn wa kukuamini kwa mjisura huu! kwa hiyo matendo yako tu, na maneno yako vinaendana!...sasa hapa ni avatar!..... je live tena Dukani kwa mtu? tena akiwa peke yake?

anakuona km jambazi, pamoja na ufalme wenu huo wateja wengine mnatisha matajiri/wauza, hata wao wanahitaji kuishi!...jamani wana JF forum, ebu semeni wenyewe mjisura kama wa vishu mtata,

huyu aje Dukani kwako jioni! au km hakuna wateja si lazima ujinyee kwanza! au aje mtu km Nyarusare! dukani kwako wkt umeingiza mali jana kutoka Dubai, utamchangamkia kweli??

Kubalini tu kwamba wateja wengine mnatisha wauzaji?? hata wao wana roho!! siyo mawe yale!.....ndo ivo vibaka wanafanyaga wanazuga eti window shopping!

Kuumbe wapelelezi hata hawa humu wanao tetea eti Mfalme mteja wengi ni vibaka , na vibaka wana ushirikiano sana! si mnaona jamani wanateteana kwa fujo bila point za maana!

wafanya Biashara wooote fungukeni leo! Kamwe usimwamini kila mteja eti ni anakuja kwa kofia ya Mteja ni Mfalme! waongo tu hao ni wezi, Majambazi/wapelelezi/chuma ulete/wachawi/wivu nk,

siku isiyokuwa na tarehe watakuangusheni tu, musiwachekee hao! wako humu wengi kuteteana ndo tabia zao!!...utawajuaje! hawanaga point za maana! wao ni kuzomea tuuu na matusi ili wakutoe kwenye reli!

fanyeni hivi; msijenge mazoea ya ghafla! kwa wateja wanao jipendekeza saaana kwa kisingizio cha uteja ni mfalme! watakulizeni hao! heee! au wanatoaga michongo kwa majambazi, kuweni makini!

Vibaka wa siku hizi wana umoja, hata humu wamo kuokoteza mawazo km haya! akikubia mmoja ukipiga ukunga, wao nao wanapiga km kumi hivi! wansema hovyp ni yule , ni huyu! kapita hukoooo, wanamkimbiza wrong person!

lengo lao ni kupoteza jamii yenye nia njema iliyokuja kukusaidia sasa wamehamia humu! ili kupatamawili matatu! Wafanya biashara/wafanya kazi/ Ma boss! kuweni makini sana! Majumbani na makzini kwenu hukoooo!
 
Back
Top Bottom