Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

Unauza nini?
 
Bongo mtu akishajenga kajumba kamoja na biashara anaona kamaliza anaanza dharau😁 Yani badala atafute chenchi Ni Bora urudishe bidhaa nusu
 
Wahi Tiba mapema naona unazidi kuwa chakii
 
We una duka? Labda unauza mnduku
 
Utopolo
 
mouth breather! demonstrated a high degree of stupidity.
 
Unaandika kama una kipande cha ndizi matakoni
Basi unauzoefu nacho, ulijuaje?
Mkuu hivi vidada vilivyozamia Unguja vina dharau we acha tu.
Jamni mpumbavu si lazima udharauliwe tu!! ni ugonjwa kumheshimu mjinga!
Ushauri mzuri huyu jamaa comment zake nyingi hazieleweki.
NI kawaida akili kubwa km hizi kueleweka kwa akili ndogo, chunguza uone, na km mtu simple akinielewa ntajilaumu na kujiona bado sana, kamwe huwezi kuzielewa ndo maana watu wanafail mitihani na wengine wanafaulu!

hiyo ni kawaida, ukiona unaeleweka kirahisi kwa kila mburula basi ujue weye bado sana!! Numbisa upo hapo?
We una duka? Labda unauza mnduku
Na wewe mbona unao mkuu! unanionea wivu bure tu, njoo nikuunge mkuu baba! halafu raha sana kwanza maatizo yako madogo madogo yanaisha faster! kwani unanionea wivu bure tu!!

kwanza ulijuaje unauzwa km hauja wai uuza? au huo sasa hauna thamani sasa unanionea wivu mwenzako nina biashara hapa mweee! njoo in box!
ndiyo uukule sasa mkuu!
Wahi Tiba mapema naona unazidi kuwa chakii
Nimekukataza kurudia hili neno tiba kwenye avatar yako ile nyingine naona unalirudia tu!
biashara anaona kamaliza anaanza dharau
Mbona weye huna km yeye! tafuta kivyako usiangalie vya mwengine ndo siri ya mafanikio!
Kuvurugwa inaonyesha ubinadamu wangu hawavurugwi wanyama mkuu hili nalo hujui?
 
Naona umemaliza Avatar zako zooote sasa!! umetusaidia kujua kuwa una avatars nyiiiingi!!! au bado unafungua nyengine mkuu!! ila Numbisa nilidhania ni kademu nikasarandie kuuumbe ni hugu gujamaa duuu!!

yaani kuwajua watu humu kuumbeni rahisi sana!.........hayaaaa funga kazi hiii
 
Chizi kaharibu uzi mzima
 
..Ni Wewe Nini?...
 
What a fool! Ajabu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee
Hili povu ni la Omo au Maq?
 
Weyey huna akili unajipendekeza kwenye duka la mutu bila kuitwa kweli huna kazi za kufanya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…