Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikae kimya kwa kipi sasa kila mtu Ana test zake kuna wengine wanaona Chibu ni bora kuliko kiba, kuna wengine wanaona Pepsi ni tamu kuliko Coca-Cola, kuna wengine wanaona Messi ni moto wa kuotea mbali kuliko CR so kitu unachotakiwa kujua ni kuwa kila mtu anamapenzi yake na test yakeHujui kitu ww kaa kimya Dj Afro ni waya wa stima
Loyerrrr. hana uharisia hata tonee hahaha?.Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
Nq mm piaSorry mkuu
Kama unapicha au unaweza pata picha ya Dj Mark naomba uniwekee nimuone au acc yake ya Insta or Fb nim follow
Ktk biashara changamoto nilazima.Kujipanga ni pamoja na kupambana na soko la haki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ata wakimshitaki hatutaangalia movie zao kwa upumbavu kama huu![]()
Usipojijua na kumjua adui wako kamwe huwezi kushinda vita, hapa inaonesha mapema, vichwa vyao vimeshafikia ukomo. Sa nadhani si lazima kila nchi iwe na tasnia zote, hii tuwaachie wengine nao watafute chaka lingine watakalolimudu.nawaza yafuatayo
-AINA YA MASHTAKA
-MAHAKAMA WATAKAYOSTAKIA
-HAKIMU
-WAKILI
-WAO WATAKUWA MASHAHIDI AU WASHTAKI?
hivi hawa WAMELOGWA AU NINI?
PSYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
Neno kuntuWananitia hasira sana badala wakae chini wajipange jinsi ya kujiongeza wao wanakaa kulumbana mno na kufanya yasiyo ya msingi..
WANAZIDI KUNIPA SABABU ZA KUTOWA_SUPPORT