Kiambaluka
Member
- Mar 23, 2017
- 8
- 2
utumbo kabisa awa bongo move
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa ubunifu zero nothing in their minds wamekalia majungu tu banda ya kujiuliza tatizo ni nini mpaka soko lao kudrop kiasi hicho wanachojua ni kuvaa kijani kibichi na kukata mauno kwenye majukwaa tu sijui hawana washauri wa masuala ya marketing na hata hawajifunzi kwa nchi za kiafrika zinazofanya vizuri kwenye hii industry kama Nigeria na Ghana .pathetic foolsWapuuzi hawa jamaa sijaona...
HahaaWawashitaki Azam Tv
Kwema mkuu. Msalimie pacha wako. Alafu ebu force ule mzigo utoke na sisi tutengeneze move yetuWameshikwa pabaya! Watoe movie zinazokidhi viwango,lakini kama ndio hizi za sasa hata bure siangalii,Nimeshawahi kusimamia movie Moja yaani hakuna umakini kabisa.location mnaulizana asubuhi''hivi hii script wapi kutafaa?'' Yaani Tz Bado kabisaa
kwani UDj wa kutafsiri ni kazi ya huyo Mark tu...? mbona madj wapo wengi iweje acopy?Mtoni mtongani,huyo mafi alicopy kwa jamaa,