Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

Mimi nilivyoanza kushuhudia jinsi wanavyoandaa na kuona uongo wanaotumia hapohapo nilianza kuzipotezea yaani nilianza kuona jinsi wavyompaka tomato kisingizio kama damu
 
Ndio hivo mkuu sometimes huo ni kama utani kazini aisee.
Nilishuhudia film nyingi sana zikishutiwa nyingine hadi kwenye mageto yetu mtu anakuomba naomba nishoot kwenye chumba chako pia nilishawahi kuwashikia mpaka boom la kuchukua sauti yaani nikawa nipo jikoni nashuhudia uongo woote
 
Nilishuhudia film nyingi sana zikishutiwa nyingine hadi kwenye mageto yetu mtu anakuomba naomba nishoot kwenye chumba chako pia nilishawahi kuwashikia mpaka boom la kuchukua sauti yaani nikawa nipo jikoni nashuhudia uongo woote

Mkuu kuna makweli kwenye filamu? hata huko majuu pia ni uongo tu, au unafikiri zile risasi wakipigana hua ni za kweli na damu za kweli?
 

Blood & water ..... bongo movie kufikia level zile labda magufuli afufuke
 
Pia kuna kampuni ilikuwepo ilikua inaitwa Wananchi video productions store ambayo ilikuwa inasambaza film za Jumanne kihangala na Mussa Banzi nayo ilisitisha usambazaji kipindi cha kikwete na 7bu ilikua ni uigizaji mmbovu wa wasanii

Film za Mussa zilikua kiboko
 
Huyu Ray alikuwa mtembelea nyota ya Kanumba tu kupitia haters wa Kanumba. Kanumba aliiamsha bongo movie kwa ubunifu wake mkubwa na kujaribu mambo mapya( jamaa alienda hadi Nigeria kushoot Movie). Hakukuwa na bado hatujapata msanii anaemfikia Kanumba kwenye ubunifu wengi wao kipindi kile walikuwa wababaishaji ila upepo wa mafanikio ya Kanumba uliwapitia na wao.
 
Film za Mussa zilikua kiboko
Kabisa mkuu, yaani jamaa serikali ingemsapoti angekua mbali sana
Ila p1 na movie zote alizoandaa kuna siku nilikutana naye anatembea kwa miguu hana hata baiskel
 
Mtoa mada kaandika vizuri, ila baada ya muda wadau wanatia matusi,vitisho,masimango na vitu vingine vya hovyo.

Haujengi kwa kutukana, ukitaka mabadiliko wewe uwe wa kwanza kubadilika.
 
Kweli Mkuu CHUMO haichoshi angalia pia Siri ya mtungi na Hukumu ya tunu .
 
Reactions: BRN
Excellent
 
Ila tuache masihara hata yule director wa Dhamira aliuwa Sana kwani alibase pande zote yaani siasa,uchumi na mapenzi pia ufisadi ni series moja imetulia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…