NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Hawakuwa wezi ni watu waliozoea kufanya chochote bila kuulizwa.walilichukua kawaida tu kulipeleka kwa mteja.duh!,tani 12 imeibwa alafu inauzwa kama ilivyo nzima nzima,ao wezi wanajifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakuwa wezi ni watu waliozoea kufanya chochote bila kuulizwa.walilichukua kawaida tu kulipeleka kwa mteja.duh!,tani 12 imeibwa alafu inauzwa kama ilivyo nzima nzima,ao wezi wanajifunza.
Unajuaje kama wahusika si Wachagga. Wachagga waliyo nje ya Kilimanjaro ni wengi kuliko waliyo Kilimanjaro. Hapa sina maana ni Wachagga, ila nataka kusema kwa tukio kutokea nje ya Kilimanjaro haina maana hakuna uwezekano wa Mchagga au Wachagga kuhusika.ingekuwa imetokea kilimanjaro wachaga tungeaanza kusemwa sisi ni wezi.
Inauma sanaTuseme,nani mratibu wa mambo haya,nani mdhibiti wa haya,nani mzuiaji wa mambo haya,nani kashindwa kufanya jukumu lake, [emoji848] Mimi nitasema yote ni mambo ya mwana/wanachukua chako mapema [emoji848]
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limekamata gari aina ya HOWO tani 12 lenye thamani ya Sh180 milioni likiwa katika harakati za kutafutiwa mteja ili liuzwe mkoani Tabora.
Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Blasius Chatanda aliyoitoa kwa waandishi wa habari leo Februari 6, 2023, inaeleza kuwa gari hiyo mali ya Kampuni ya ujenzi ya CCECC ilikamatwa Mabama wilaya ya Urambo.
"Ilipotea Januari 27, 2023 katika Kambi ya Malampaka ikapatikana Januari 29, 2023 ikiwa inapelekwa kwa mnunuzi, katika hali ya kawaida gari haliwezi kutoka ndani ya fensi ikapotea maana yake kuna watu wa ndani wameshirikiana na walinzi kuhakikisha kwamba gari linatoka," amesema Chatanda
Gaidi gang wanakuja piaNgoja waje sukuma gang
Hata hivyo tusubirie tuone yawezekana alisafri Toka arushaingekuwa imetokea kilimanjaro wachaga tungeaanza kusemwa sisi ni wezi.
Kamba Hukatika PabayaTz ni nchi ya amani