Bongo Star Search Wapewa mwezi mmoja kumlipa mshindi wa BSS 2019

Hii pesa alitakiwa aitoe MENGI sema ndo vilee mzee ashafariki mambo yamekuwa magumu sanaa.. Hapo ndo utajua nyuma ya kila mwanamke kuna mwanaume aisee[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifatacho wale bakora maana huu ni uhuni
 
Dah, dogo alipiga show akiwa ametoka kuwekewa drip hospitali, akakamua kweli kweli kumne hakulamba chochote!
Huwa najiona nina roho mbaya kumbe roho yangu sio chafu sana na nikikazana kidogo naweza enda mbinguni.
Unamdhulumuje mtu 50M kirahisi hivyo?
Akina Master j wanajimwambafy tu kumbe pesa hamnamo, walipe.
 
Nilikuwa najiuliza mbona washindi wa bss maisha yao magumu hawapigi hatua...kumbe huwa anawapiga changa la macho mshenzi sana rita
 
Kitambo sana hapo wamepushana na mshindi ndio maana yanajulikana sasa... Muulize Kala Jeremiah aliambulia nini

Jr[emoji769]
Kumbe huwa anawatumia kuji mekia mkwanja halafu anawapiga changa la macho.mshenzi sana madam
 
Huu mkataba unamnyonya msanii,yaani anaambulia mil 20 cash na mil 30 ahadi hewa eti kupromote kazi yake!!!! Ataishia kurekodiwa studio za hali ya chini au kwa master j ngoma mbovu ndo itakuwa kwa heri,ndo maana wasanii wa bongo star search asilimia 90 wamepotea kusikojulikana!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…