financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
30M for promotion?, jamani wampe 50M yote promotion atajifanyia mwenyewe bana.alafu walivyo wezi wasio na haya wanasema kwenye 50m,Wanampa msanii 20m alafu 30m wanamfanyia promotion Cha kujiuliza promotion gani million 30? Na msanii yupi ambaye amewahi kufanyiwa promotion ya hiyo hela yanapoisha mashindano?sijui wanatuona sisi ni mapoyoyo
Nahisi alikuwa 10 au 11 vile.Sio wa 8 au 9
Yaani Hawa watu Mungu anawaona sijui wabongo tutaacha ukanjanja lini30M for promotion?, jamani wampe 50M yote promotion atajifanyia mwenyewe bana.
Hatari sana, Madam alikua hadi anatoa chozi eti vipaji vya vijana vimemfurahisha kumbe moyoni anajisemea hiii no money here😀😀Yaani Hawa watu Mungu anawaona sijui wabongo tutaacha ukanjanja lini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hatari sana, Madam alikua hadi anatoa chozi eti vipaji vya vijana vimemfurahisha kumbe moyoni anajisemea hiii no money 😀😀
😃😃😃😃😃😃😃😃Vingereza viiingi kumbe lipigaji .
Hivi Kala Jeremiah aliwahi kuwa mshindi wa BSS kumbe? Nadhani unamsema Jumanne IddHakuna hata siku moja mshindi wa BSS aliwahi kulipwa kamili.. Na mbaya zaidi wanahakikisha wanambana mshindi kwa mwaka mzima na kumdhibiti kwenye chochote anachopanga kufanya
Jr[emoji769]
Nay wa mitego,salam zaoKuna yule msanii aliwahi kuimba kwamba hili shindano ni la kibabaisha ila nikahisi kama msanii amekosa mashahiri.
Jina nani na wimbo wake unaitwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshindi wa bss kumiliki bajaj ni ngumu,itakua wanapewa vichenchi tuDogo alikomaa sana aisee ,wampe haki yake ,nlishawah jiulizaga hawa jamaa kam wanapewag iz ml 50 mbon life lao baada ya hapo huwa gumu tu japo hzo hel sio nying ila kuna angalau ingeonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni baada ya kukatiwa mrija wa zile elfu saba saba zenu za kule Lumumba, au? Ukitaka mabadiliko acha kushabikia "SISIEMU"Waziri Mwijage pia hakutimiza ahadi yake kwa yule binti mshiriki wa Maisha Plus.
Hii nchi ni ujanja ujanja mwingi mbele ya camera.
Kwahiyo akiwa mshabiki wa chadema ndo atakuwa tajiri?Hii ni baada ya kukatiwa mrija wa zile elfu saba saba zenu za kule Lumumba, au? Ukitaka mabadiliko acha kushabikia "SISIEMU"
Kuna sehemu nimetaja hicho chama? Mbona unakua punguani hivi?Kwahiyo akiwa mshabiki wa chadema ndo atakuwa tajiri?
Ritha na timu yake ni wezi sana tulilijua mapema lakini kama ilivyo kawaida za mwizi 40 hatimae ulimwengu umejuaalafu walivyo wezi eti million 30 wanamfanyia msanii promotion
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hadi mbavu zinauma lol wee kiboko uwiiiiiiHatari sana, Madam alikua hadi anatoa chozi eti vipaji vya vijana vimemfurahisha kumbe moyoni anajisemea hiii no money [emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaah watu nyie duuuhVingereza viiingi kumbe lipigaji .