Duuh!! Mbona hatari hiyo.Kama hatojiua sijuwi, na huko aliko nasikia anapuliza bangi na kubwia unga shinda awali. Wabongo wanapenda sana kuishi maisha ya kimagumashi, sijuwi wanaona faida gani?
Mzee wetu jamaniHuu ni uhuni kama vipi serikali ihakikishe dogo anapewe hela yake,ikishindikana BSS ifutwe.
Ila Madam Rita kampuni yake ya Benchmark nayo inatembelea rim,lile deni lake na TRA sijui wameshamalizana.
Hapana, nadhani alikuwa wa 14 au 15
Nilisikia mlitaka kugoma baada ya polepole kuchelewesha elfu saba saba zenu, vipi zimeanza kutoka?Kama anaisifia CCM wewe inakuuma Nini?mbona Kuna wengine hata serikali ifanye Jambo gani zuri lazima waponde mbona ujawatolea mapovu? Na kwenye hii issue kosa la serikali ni lipi?
Alikuwa wa 18 au 19
Hata kama amelipwa robo siyo sababu ya kutokumlipa,cha msingi alipwe kiasi tunachoambiwa sisi mashabiki analipwa siyo janja janja!siku ya fainali alokabidhiwa mfano wa hundi ya milion 50 ,ndo alipwe hela halisi sasa[emoji41]Duuh!! Ndio kwamba hailipi hiyo bongo star search au?
Kama hajalipwa hata 100 ni sawa kabisa kulalamika.
Mzee baba naona unaruka hoja ya msingi unakimbilia sehemu siyo sasa mambo ya kugoma yanakujaje Cha kukusaidia ni kwamba kwanza me sio mshabiki wa chama chochote Cha siasa Tanzania ila nimekosoa hoja yako kutokana na namna ulivyoijenga.Nilisikia mlitaka kugoma baada ya polepole kuchelewesha elfu saba saba zenu, vipi zimeanza kutoka?
Wahi ukachukue buku 7 yako, kumbuka kuanzia kesho ni mapumziko ya Sikukuu hadi Jumanne.Mzee baba naona unaruka hoja ya msingi unakimbilia sehemu siyo sasa mambo ya kugoma yanakujaje Cha kukusaidia ni kwamba kwanza me sio mshabiki wa chama chochote Cha siasa Tanzania ila nimekosoa hoja yako kutokana na namna ulivyoijenga.
Kwahiyo umenipa chama Cha CCM?Wahi ukachukue buku 7 yako, kumbuka kuanzia kesho ni mapumziko ya Sikukuu hadi Jumanne.
We MASABURI una akaunti mbili humu, eti? Maana nilikua nalumbana na kada kindaki-ndaki wa CCM, badala ya yeye kujibu unajitokeza wewe. Vijana wa Lumumba bana, hizo Smartphones mlizopewa na Mheshimiwa imekua taabu sana.Kwahiyo umenipa chama Cha CCM?
Washenzii mpwa wamesahau kusomaa.nyakatii kwikwkwiiio limewakutaKuna yule jumanne idd aliambulia kicorola
Gari lenyewe used kilikuwa Hawa jamaa wahuni sana
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
UMRI WAKE NA ANAYOFANYA WALA AYAENDANI DAHKashajitia doa kwa wadhamini! Aibu sana hii kwa mama kuwa hivi [emoji134]♀.
Mamamamamaye yaani hii ndiyo best comment ya thread. Chukua kombe lako 🏆Sasa atalipaje na Mengi alishafariki!?
Serikali ingejionheza tu kuwa hawa wanawake wanaojifanyaga wamefanikiwa huwa kuna wanaume wanaosimamia mafanikio yao!!
Mie huwa nashangaa sana hata wale wanaojiita
Malikia wa nguvu kumbe nguvu nyingi huwa ziko viunoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo alikomaa sana aisee ,wampe haki yake ,nlishawah jiulizaga hawa jamaa kam wanapewag iz ml 50 mbon life lao baada ya hapo huwa gumu tu japo hzo hel sio nying ila kuna angalau ingeonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Anavuta bangi?!!Mze Mengi kishakufa, huyu mdada sasa anahaha tu ule wizi waliokuwa wanafanya baadhi ya viongozi enzi za Kikwete sasa ni kama hakuna, so kupata mtu wa kumuweka mjini ili naye aonekane ni shida. Mwacheni abwie unga na kuvuta bangi tu, ujanja una mwisho wake.