Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Duuh!! Mbona hatari hiyo.Kama hatojiua sijuwi, na huko aliko nasikia anapuliza bangi na kubwia unga shinda awali. Wabongo wanapenda sana kuishi maisha ya kimagumashi, sijuwi wanaona faida gani?
Unadhani kuna faida basi cha zaidi ndio kama hivyo mwisho wa siku mtu anadhalilika.