Bongo usanii mwingi

Mamdogo Amehlo, dada To yeye, shemela Evelyn Salt na mshikaji wangu Bantu Lady mnaitwa huku kuna hoja inahitaji maelezo au majibu yenu..!!
 
Sasa mdomo na k vinahusiana nini kwani kinachokula na kunywa ni k ama mdomo jamani

Yani mtu aanze kukuambia habari za k wakati wa kula na kunywa kwani hiyo ni kazi ya hicho kiungo

Yeye alikula na kunywa sababu kiungo kilichohusika na hiyo kazi hakina tatizo, sasa ilipofika kwenye kazi ambayo k ilihitajika, ndio akakuambia hicho kiungo hakipo sawa kina mushkeli
 
Mbona kama ni wewe kabisa🤣🤣
 
Huu mwingine ushamba tu, yani siku ya kwanza tu ukalale nae kisa umenunua kuku pombe.
 
Reactions: 511
leo hujajipanga umeandika utopolo 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…