mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
moto umeniwakia😅Mbona unajitetea wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moto umeniwakia😅Mbona unajitetea wew
[emoji23]moto umeniwakia[emoji28]
Wee fashen zingine wacha tu zikupitedunia inaenda kasi shangazi, hizi ndo fasheni [emoji28]
Mamdogo Amehlo, dada To yeye, shemela Evelyn Salt na mshikaji wangu Bantu Lady mnaitwa huku kuna hoja inahitaji maelezo au majibu yenu..!!Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamani…
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. 😓
Hata kamaMwanaume hasusi we vipi bwana
Sawa sawaHata kama
....... leo hata sielewNikumbushe
Sasa unaanzaje kujitetea mbele ya shangazi😂moto umeniwakia😅
hana shida huyo shangazi-msela 😂Sasa unaanzaje kujitetea mbele ya shangazi😂
Wajipange kuipangua 😅Mamdogo Amehlo, dada To yeye, shemela Evelyn Salt na mshikaji wangu Bantu Lady mnaitwa huku kuna hoja inahitaji maelezo au majibu yenu..!!
Mbona kama ni wewe kabisa🤣🤣Sasa mdomo na k vinahusiana nini kwani kinachokula na kunywa ni k au mdomo jamani
Yani mtu aanze kukuambia habari za k wakati wa kula na kunywa kwani hiyo ni kazi ya hiko kiungo
Yeye alikula na kunywa sababu kiungo kilichohusika na hiyo kazi hakina tatizo, sasa ilipofika kwenye kazi ambayo k ilihitajika, ndio akakuambia hiko kiungo hakipo sawa kina mushkeli kidogo
😀😀😀😀😀😀daahMamdogo Amehlo, dada To yeye, shemela Evelyn Salt na mshikaji wangu Bantu Lady mnaitwa huku kuna hoja inahitaji maelezo au majibu yenu..!!
Tuliza kichwa, soma kwa makiniHuu mwingine ushamba tu, yani siku ya kwanza tu ukalale nae kisa umenunua kuku pombe.
Mpaka zipite siku ngapi?Huu mwingine ushamba tu, yani siku ya kwanza tu ukalale nae kisa umenunua kuku pombe.
NImekaa paleee nasubiri jibu lako😀😀😀😀😀😀daah
Siwezi kuwa na jibu sasa me siko hivyo😀NImekaa paleee nasubiri jibu lako
leo hujajipanga umeandika utopolo 😂Sasa mdomo na k vinahusiana nini kwani kinachokula na kunywa ni k ama mdomo jamani
Yani mtu aanze kukuambia habari za k wakati wa kula na kunywa kwani hiyo ni kazi ya hicho kiungo
Yeye alikula na kunywa sababu kiungo kilichohusika na hiyo kazi hakina tatizo, sasa ilipofika kwenye kazi ambayo k ilihitajika, ndio akakuambia hicho kiungo hakipo sawa kina mushkeli