Bongo usanii mwingi

Mbona umeongea Kwa hisiaa sana😂😂
 
Mkuu mimi sigeuzi samaki Hakika, kama ni ushamba nakubali😂
Wewe kukataa kuto-kumgeuza! HAIMAANISHI KUWA HAGEUZWI!!!

....huyo alikuwa anakutega...inaonyesha ndio michezo yake hiyo...alishindwa tu kumwambia....

Wabobezi tunateleza tu... Ikizama tu anatulia mwenyewe...na ku enjoy the moment!
 
Pepo ngumu
 
Mpaka waache utapeli😅
Amekutapeli vipi? Wewe umesema ulikuwa uzinduzi wa mapenzi yenu ambayo inamaanisha mapenzi yenu ni endelevu. Period ikiisha mtazindua unavyotaka. Inaelekea mpango wako ulikuwa wa one night stand. Angekuambia mapema hali ilivyo usingemfanyia ulivyomfanyia. Ulikukuwa unanunua tu unachokitaka.
Endelea tu kumtoa out. Atakuheshimu zaidi kwa kuwa muelewa.

Amandla...
 
Usidhani kila mtu atakuwa na moyo kama wako. Utaishia kuvunjika moyo kutegemea kutendewa wema kama unavyowatendea wengine.
Sina moyo huo mkuu, ngoja siku yake ifike nitaleta ushuhuda hapa hutaamini😢
 
Wewe kukataa kuto-kumgeuza haimaanishi kuwa hageuzwi!.....huyo alikuwa anakutega...inaonyesha ndio michezo yake hiyo...alishindwa tu kumwambia....

Wabobezi tunateleza tu... Ikizama tu anatulia mwenyewe...na ku enjoy the moment!
Ewaa hapo umesema, hebu niwakilishe mkuu, na siku nikipata mwingine wa hivyo nakucheki chap😅 undugu ni kusaidiana
 
We hujui tu mkuu, unaahidiwa papuchi wiki nzima kisha inayeyuka😅
Wiki moja tuu ndio unakuja kulia kulia huku! Wenzenu tulikuwa tunasota miezi na hatukati tamaa. Inaelekea umekuwa unamghasi ndio maana akatoa ahadi. Wewe endelea kutoa huduma bila kuzungumzia uzinduzi. Utashangaa siku moja unapewa bila hata kutarajia maana atahisi unapata hiyo huduma kwengine au iko siku utaondoka wakati nae amezoea dina na klabu.

Amandla...
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…