Bongo usanii mwingi

dhuruma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™
 
Reactions: 511
No pain no gainπŸ˜‚πŸ’ͺ
 
Nilishaletewa scenario kama hiyo na demu mmoja wa kiarusha ana shepu Dar mpk Moro. Imepita kama wiki mbili za ahadi siku anakuja Nimejikoki huduma kama zote kufika geto anasema habar za MP aisee sikupata usingizi Ile siku Kmmke saraphina popote ulipo[emoji23].
 
Reactions: 511
Pole sana jombaa, waache utapeli kwa kweli. Kwani akisema ukweli kuwa anakuja ila yuko p kuna shida ganiπŸ˜… wanapenda kuleta usumbufu tu bila sababu
 
Next time kuwa muwazi from the very beginning. Mwambie tukimaliza uzinduzi unaenda kula mti.
Yaani hiyo siku ilikuwa ya kula mti na aliipanga yeye kabisa, alikuwa anajua kabisa, nikajifanya gentlemen nikamtoa na dina ili a enjoy kumbe alikuwa na jaa tuπŸ˜“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…