Bongo usanii mwingi

Bongo usanii mwingi

Hapana, unasahau kwamba at first place, NIA YA KUMTOA ILIKUWA NINI..!!! Kama wewe nia yako ni kutoomba mbusus, basi uisje ukadhani wenye nia ya kuomba mbususu ni washamba..!! By the way, wanawake walio wengi, HASA WA SASA, ukimtoa out na usiombe mbusus, kichani mwake kutapita maswali mengi sana..!! La jogoo kutopanda mtungi linaweza kuwa moja ya maswali hayo.
Mimi ndio nawatoa ushamba wao waliozoea kutolewa na kuombwa k, nawajenga kuna wanaume wa namna hii on the other side.

Kuna wanawake ukiwaletea hizo pigo kuomba mchezo on first date anakuona mshamba tu halafu huna kitu.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hakuna ujanja hapo aliofanyiwa. Kumbuka miaka 10 iliyopita, siku ya kwanza mimi nawewe tulivyokutana. Tulikula dinner na kunywa, si kila mtu akarudi kwake?
Sasa kama hakusema baada ya hayo yote kuna kulipa 😂😂😂😂😂 binti asingeenda.
Peterrabbit Ngalikihinja Imeisha hiyooo 🤸‍♀️
Hivi hii sentensi, nainukuu...
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.
mwisho wa kunukuu..!!

Umeisoma kwenye uzi wa bwana Peterrabbit muanzisha uzi??? Kwamba walikubaliana wakanyanduane baada ya milo na vinywaji..!!! Lakini kenge maji ile ikaingia period baada ya kula na kunywa..!!!
 
Mimi ndio nawatoa ushamba wao waliozoea kutolewa na kuombwa k, nawajenga kuna wanaume wa namna hii on the other side.

Kuna wanawake ukiwaletea hizo pigo kuomba mchezo on first date anakuona mshamba tu halafu huna kitu.
Hivi umesoma kwenye post yake kuwa walikubaliana wakimaliza vyote, cha mwisho ni kubanduana?
 
Mimi ndio nawatoa ushamba wao waliozoea kutolewa na kuombwa k, nawajenga kuna wanaume wa namna hii on the other side.

Kuna wanawake ukiwaletea hizo pigo kuomba mchezo on first date anakuona mshamba tu halafu huna kitu.
Hukuelewa bablai.
Huyu hakuombwa siku hiyo means alishaombwa wiki kabla ndio akapanga aliwe siku hiyo.
 
Hivi hii sentensi, nainukuu...
Ni kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa mpenzi letu.
mwisho wa kunukuu..!!

Umeisoma kwenye uzi wa bwana Peterrabbit muanzisha uzi??? Kwamba walikubaliana wakanyanduane baada ya milo na vinywaji..!!! Lakini kenge maji ile ikaingia period baada ya kula na kunywa..!!!
Mshikaji wangu Bantu Lady nasubiri jibu lako hapa
 
Nimecheka eti unyofoke nacho khaa....pole sana mkuu, hata sisi huwa tunasema hivyo hivyo "ukipata nafasi ya kumuumiza mwanaume hakikisha unamuumiza mpaka mama yake tumbo la uzazi limuume" ila pole kwa maswahibu
Tumbo la uzazi litikisike shenzi kabisa😀😀
 
Hukuelewa bablai.
Huyu hakuombwa siku hiyo means alishaombwa wiki kabla ndio akapanga aliwe siku hiyo.
Halafu vijana kama unaomba mzigo msiwe na zile kupinda na vimisemo havielewiki eti kuzindua penzi , we mwambie tukitoka kunywa nataka nikakutomb3, unakuta kwa uoga wako ulimpa taarifa kwa mafumbo hakuilewa code sasa hivi unamfungulia uzi.
 
  • Mshangao
Reactions: 511
🤣🤣🤣🙌🏾 siamini hii trick bado inatumika in 2023. Kama unampa mtu mpe hii beating around the bush is so old school
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom