Bongo usanii mwingi

Bongo usanii mwingi

Utakuta alishajipaka na vumbiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa kupania mechi.
Kwa sababu ndio michezobya vijana siku hiziπŸ˜‚
Wakipatikana wasichana 1000 wa hivyo, mabinti zetu watakuwa salama sana. Namba E zitakuwa salama salmini...
 
Si kuona jina lake wala bench hayupoπŸ˜‚
Jibu lako hili, natafuta namna ya kukurudisha kwenye mstari..!! Ila sema nini mwamba, kama ulimwambia akuonyeshe tuambie tu..!! Maana isije ikawa tomato iliyokuwa inatumika kwenye chips alizokula ilihusika..!!
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Sasa mshatongozana mnaremba nini πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kwamba hamchatigi matusi na wapenzi wenu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€au ni mimi tu nna tabia za ajabu uwiii πŸ˜€πŸ˜€
Vijana wanashangaza sana, afadhali unisaidieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Jibu lako hili, natafuta namna ya kukurudisha kwenye mstari..!! Ila sema nini mwamba, kama ulimwambia akuonyeshe tuambie tu..!! Maana isije ikawa tomato iliyokuwa inatumika kwenye chips alizokula ilihusika..!!
Hapana mkuu, hata sikuuliza mara ya pili, ilivyo sema tu nikamwambia panda gari nikurudishe
 
Kwa hiyo kumbe tukiwapa good time tunachemka. Inabidi iwe wewe mama boke, rara nikurarieπŸ˜‚πŸ˜‚
Subiri ukue, utajua muongozo mzima. Kumtoa mwanamke out, isiwe sababu ya kwenda kulala naye. Mnaweza toka out hata miezi, nyie ilikuwa ya ngapi hiyo? Kama ni mara ya kwanza, alishtuka akajua akizubaa yeye ndiyo atakuwa hiyo dinner.
 
Bantu Lady iko hivi. Alipanga nimle hiyo siku. Mimi nikaongeza manjojo ya kumtoa dinner ila haukiwa mpango wetu.
Tena alipanga wiki kabla na siku ya tukio nikamcheki akasema yuko fit
Basi nia yake ilikuwa nzuri, but hiyo ilipotokea akaona asionekane mswahili. Aje kwenye miadi yenu, hata akiwa hivyo atakueleza utamuelewa.
Shida kichwa cha chini, kikiwa kimepania hapo humuelewi mtoto wa watu.
 
Subiri ukue, utajua muongozo mzima. Kumtoa mwanamke out, isiwe sababu ya kwenda kulala naye. Mnaweza toka out hata miezi, nyie ilikuwa ya ngapi hiyo? Kama ni mara ya kwanza, alishtuka akajua akizubaa yeye ndiyo atakuwa hiyo dinner.
✍️ We dada unajielewa sana, wape elimu hao vijana.
 
Shida Yako wewe ni Malaya .
Wanaume wenye heshima , waelewa watakutoa out kukufahamu vizuri na hata kama nikunyanduana inakuwa umemzoea mtu . Sasa eti unamtoa mtu out ili uje ukamle tu nani anataka hata Mimi nitasema ni naumwa kipindi pindu maana sio Kwa madharau hayo ungetaka Malaya ungeenda sehemu hizo . Wanawawatu sio wa michezo yenu tafadhali
 
Kichwa cha chini kinahusikaje sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bichwa lako πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† wee huoni kilivyochachamaa? Kipe pole kimeachwa kwenye mataa πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Back
Top Bottom