tecknologia23
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 259
- 382
SijakuelewaKuna mahali nimeliaš tatizo ulinidanganya
Pole sana ukila lazima ulipe, njoo Jioni nikutoe tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaKuna mahali nimeliaš tatizo ulinidanganya
Pole sana ukila lazima ulipe, njoo Jioni nikutoe tena.
TrueUmetumia nguvu na pesa nyingi sana kisa kubang! Wakati kiuhalisia ni simple sana kumaliza kazi popote pale ukijua kucheza na hisia zake.
@dronedrakeNi kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa penzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamaniā¦
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. [emoji29]
ushauri mmbovuunakwama wapi komredi ? ungemla Tigo
Nianzie mbali kidogo. Moja ya maazimio yangu kufikia January 1 mwaka huu ilikuwa ni kuacha kabisa pombe na kampani ya walevi. Pombe imenisababishia madhila kibao katika maisha ikiwamo kushusha heshima yangu kazini na jamii inayonizunguka huko mtaani, kunitenga na Mungu wangu kiroho, kunirudisha nyuma kiuchumi, mafarakano na Mke wangu na aibu nyingine kede kede.
Ilifika January mosi na kweli nilifanikiwa kuacha pombe kwa takribani mwezi mzima wa January. Kimbembe kilikuja ilipofika mwezi February tarehe ya kuazimisha siku yangu ya kuzaliwa! Hapo ndo kama nilizaliwa upya na pombe huko uchagani nikiwa na kina Shirima, Lyimo, Shayo, Minja, Urassa na Mshana. Toka siku hiyo nimekuwa mraibu mkubwa sana wa haya mapombe ila naamini ipo siku nitaacha, ngoja kwanza nianze kujitenga na kampani za wanywaji kina Mshana Jr
Niende moja kwa moja kwenye point sasa.
Jana majira ya saa6 mchana nilitua uwanja wa ndege wa JNIA nikitokea bara Uropa kwa kazi fulani iliyochukua kama wiki moja. Nilipokelewa airport na rafiki yangu Bwana Lyimo na tukaenda moja kwa moja katika mghahawa fulani maeneo ya external kupata ugali nyama choma kabla ya kuanza kupiga vyombo. Baada ya msosi tuligonga vyombo viwili vitatu kusogeza muda.
Majira ya saa 12 hivi jioni tulihamia Julliana maeneo ya Africana Mbezi huku nikiwaalika wanywaji wengine 6 jumla tukawa nane.
Kiufupi nilikuwa na vidola kadhaa nilivyolipwa kwa safari ile nikaona sio mbaya tukinywa na marafiki huku tukipiga story mbili tatu za maisha. Watu walilewa vya kutosha kufikia saa8 usiku kila mmoja akaanza kutoroka bila kuaga.
Majira ya saa11 kasoro alfajiri tulikuwa tayari tumeshapauka vya kutosha mimi na Bwana Lyimo hivyo tukaona ni wakti muafaka wa kurejea nyumbani kulala.
Kwa kuwa kwa Bwana Lyimo ni maeneo jirani tu amepanga katika moja ya apartments fulani Mbezi Makonde niliona sio mbaya nikipumzika kwake then mchana nikishakaa sawa niondoke kuelekea Kigamboni.
Lyimo alinionesha chumba cha kulala nikaingia kupumzika. Dakika chache niliamka kwenda kuchukua simu niliisahau kwenye gari.
Mle kwenye gari kulikuwa pia na chupa kadhaa za vyombo tulivyoshindwa kumaliza tukavibeba. Uroho wa pombe nikaanza tena kuvipiga pale pale. Eh kidume kichwa kikawaka nikasahau hata nyumba ya Lyimo ni ipi nikajikuta nimeenda kuingia nyumba nyingine ambayo mwenyeji wake alisahau kufunga mlango kwa kuwa naye alikuwa vyombo.
He he he! Ishu iko hivi, mwenye nyumba niliyoingia ni mwanamke, mama mtu mzima kidogo ila anaishi na dada wa kazi na wanae wawili wadogo.
Huyu mama huo usiku alikuwa ametoka kwenye shughuli ya harusi, na huko naye alipiga vyombo vya kutosha akawa ndwiii! Alipofika kwake kwa hali ya ulevi alijibwaga chumbani akaacha milango bila kuilock na funguo. Mimi huyooo hata sijitambui, nikafungua wa sebuleni, nikafungua wa chumbani nikakuta jimama jeupe, limenona vyema. Eh pombe sio chai wakuu, nikapanda kitandani nikamvuta na yeye bila hiyana akanikumbatia tukalala fofofo! Saa 1 dakika 40 asubuhi simu yangu inaita nikashtuka, mama naye akashtuka.
Eh tukabaki tunaangaliana tumeduwaa. Mimi sijijui nipo wapi, yule mwanamke simjui, nashindwa kukumbuka imekuwa kuwaje mpaka tupo pale pamoja.
'Wewe! Umeingia ingiaje kwangu? We ni nani? He wewe?'- Aling'aka yule mama akiwa ameduwaa. Akiwa ameshashuka chini kasimama pembeni ya kitanda anatetemeka alinifokea nitoke ndani kwake haraka sana.
Hapo akili zikiwa zimeanza kurudi moja moja nilimjibu kwa upole kuwa mi mgeni wa Lyimo, na hapo nipo kwa Lyimo, ninachokumbuka ni kuwa nilikuwa nimelala mwenyewe, nikaamka kwenda kwenye gari kufata simu, nikaongeza na pombe na hapo ndo mwisho wa kumbukumbu zangu hata nashangaa imekuwaje nipo tena ndani na mwanamke. Akaniuliza kama tumesex nikamjibu sidhani, akajikagua kuhakikisha.
Hapo bado nina pombe, Lyimo ameshaamka, mkewe ameshaamka yupo hapo nje, watoto wameshaamka, kiufupi ni aibu!
Yule mama akatoka akaenda kuongea na Lyimo na mkewe, sijui waliongea nini Lyimo akanifata ananicheka hana mbavu.
Basi bwana nikatoka nayumba yumba na wenge la pombe. Kwa aibu na fedheha nikamsalimia mke wa Lyimo, nikamwambia "Shemeji utanisamehe sana kwa hili, sikuwa na nia mbaya ni matokeo ya mapombe tu haya, hatujafanya kitu. Naomba kwanza niende, pombe zikiniisha tutazungumza."
Basi Bwana nikaenda chumbani kuvaa shati na viatu kisha tukaondoka na Lyimo Kwenda pub fulani jirani kutia vyombo viwili vitatu huku nikimueleza kuwa nilitoka kufata simu kwenye gari na baada ya kunywa tena ndipo nilipojikuta naamka nyumba nyingine tena nikiwa na mwanamke kitandani na wakati hapo awali nilikuwa mwenyewe.
Lyimo akaniambia nimechanganya nyumba, na huyo mama ni mjane, mumewe alifariki kwa ajali mwaka jana. Huwa hatumii sana vilevi ila huo usiku inaonekana alionja viwili vitatu kwenye harusi.
Nilimueleza kuwa sijagonga na akirudi home anisaidie kuniombea msamaha kwa shemeji asinielewe vibaya, sikudhamiria.
kudadek hiyo ni dhuluma na unyanyasajiNi kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa penzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamaniā¦
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. š
ila mkuu , unatumia nguvu sana. mabomu ya nyuklia kuua nziNi kweli nimekuelewa, ukanipa namba. Tumekubaliana weekend tupate dinner pamoja na uzinduzi wa penzi letu.
Siku husika ikafika, nikakucheki ukasema uko fresh, nimekupeleka dinner umekula sana vipaja vya kuku na chips yai, halafu nimekupeleka bar ukanywa sana tu, tukatoka hapo nikakupeleka club, Masaa yote hayo hukumbuki kuniambia upo period hadi mda wa kwenda kulala ndio beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamaniā¦
Hapo ndio unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea bure.
Ndio maana baadhi ya mabinti wa kibongo hampati maendeleo sababu ya dhuruma. š
Asante sanakudadek hiyo ni dhuluma na unyanyasaji
pole mkuu
Wema wangu tu uliniponza, ningeanzia geto ningemaliza chapila mkuu , unatumia nguvu sana. mabomu ya nyuklia kuua nzi
Ili nigundue nini mkuu šKwanini usimpe pamba akalete kama kweli yuko period?
Wanawake bana, mwanaume huyu unampa masharti akutoe out Ya dinner mara mia 8 themanini ili akupate, wakati mwanaume mwingine unaenda kumfuata ghetto kwake bure na kumpa papuchi Bantu LadySubiri ukue, utajua muongozo mzima. Kumtoa mwanamke out, isiwe sababu ya kwenda kulala naye. Mnaweza toka out hata miezi, nyie ilikuwa ya ngapi hiyo? Kama ni mara ya kwanza, alishtuka akajua akizubaa yeye ndiyo atakuwa hiyo dinner.
Tatizo lenu wanawake ni kuwa wakati wewe unanipa masharti ya kuwa nikutoe out dinner mara elf 20 ili nikupate kwa gia ya tufahamiane, kumbe kuna mwanaume mwenzangu hajawahi kuKutoa out, hajawahi kukupa hata senti, unampelekea papuchi ya bure ghetto kwake kirahisi.. tecknologia23Shida Yako wewe ni Malaya .
Wanaume wenye heshima , waelewa watakutoa out kukufahamu vizuri na hata kama nikunyanduana inakuwa umemzoea mtu . Sasa eti unamtoa mtu out ili uje ukamle tu nani anataka hata Mimi nitasema ni naumwa kipindi pindu maana sio Kwa madharau hayo ungetaka Malaya ungeenda sehemu hizo . Wanawawatu sio wa michezo yenu tafadhali
Balqior š¤£š¤£š¤£š¤£ hapana hiyo ni tabia ya mtu tu. Sasa wewe ndiyo unatakiwa uchange karata zako vizuri, kuchagua aliyetulia.Wanawake bana, mwanaume huyu unampa masharti akutoe out Ya dinner mara mia 8 themanini ili akupate, wakati mwanaume mwingine unaenda kumfuata ghetto kwake bure na kumpa papuchi Bantu Lady
Tena unakuta huyo anayepelekewa huko ghetto kirahisi ndio hata hampendi anamchezea tu, au wakati mwingine anampiga na kumpiga kabisa lakini mwanamke ndio kafa kaoza, halafu kuna wewe huku unaye play gentleman ila bado unaambulia manyoya tu [emoji1787][emoji1787]Tatizo lenu wanawake ni kuwa wakati wewe unanipa masharti ya kuwa nikutoe out dinner mara elf 20 ili nikupate kwa gia ya tufahamiane, kumbe kuna mwanaume mwenzangu hajawahi kuKutoa out, hajawahi kukupa hata senti, unampelekea papuchi ya bure ghetto kwake kirahisi.. tecknologia23
Nilitesekaje sasa. Nilikula chuma kwingine fasta kufidia. Mhuni halali njaa anachelewa kula tu.Tatizo ulitumia nguvu kubwa sana,, ona sasa ulivyoteseka hiyo siku.
Naam [emoji4]Nikitesekaje sasa. Nilikula chuma kwingine fasta kufidia. Mhuni halali njaa anachelewa kula tu.