mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 587
- 954
Aiseee ilikuwa ni balaa eti pingamizi ...huyu msenge hata mashabiki wa Simba hawamuelewag sometimes...acha amalizie mwaka wa mwishoNdicho tunachoweza kwa sasa Watz.
Yani tunakopi na kupesti kila jambo linalotokea kwenye siasa tunazileta kwenye Michezo.
Hivi umesahau kqtika uchagui w TFF kuna watu "waliwekewa mapingamizi" na mwingine kupita bila kupingwa?
shida ikowapi ila bongo mbona tuna husda sana kwani kuna shida yoyote baada ya ku feel proud jamaa anatangaza sana nchi yetu tunaanza tena kumpinga jamaa kweli bongo kuna watu wana wivu
hii ni tuzo ya tff na sio tuzo ya vpl inajumuisha mpira wa soka tanzania bara mnashindwa kutofautisha kati ya tuzo ya ligi kuu na tffNadhan tulifikilie na swali la mtoa mada kiongozi
Kuna interview alisema kazaliwa IringaView attachment 1982420
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu , bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi .
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu) , maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu , sijui huku kafikaje , ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa .
Swali langu ni hili , huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii , na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Aiseeee !!!Kwanza kuna uhakika gani kwamba hana uraia ? Tuanzia hapo
Ni maarufu sana huko YouTube,View attachment 1982420
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu , bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi .
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu) , maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu , sijui huku kafikaje , ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa .
Swali langu ni hili , huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii , na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
We jamaa sijui unavuta bange? Zile ni tuzo za TFF sio tuzo za ligi kuu.Ila inashangaza tuzo ya ligi kuu msimu ulioisha sasa bongo zozo eti kamshinda masau bwire kweli au haji manara izo sio tuzo ni ulofa na kutuona wapumbavu....
hizi ni tuzo za TFF sio za ligi kuu peke yake hata timu ya Taifa inahusika. TFF inajumuisha timu zote iwe Taifa au clubIla inashangaza tuzo ya ligi kuu msimu ulioisha sasa bongo zozo eti kamshinda masau bwire kweli au haji manara izo sio tuzo ni ulofa na kutuona wapumbavu....
hizi ni tuzo za TFF zinajumuisha timu zote za taifa(wanawake na wanaume) pamoja na clubtuzo aliyopewa ni ya nini wakati yeye ni wa Taifa Stsrs tu ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
huyu ni ni shemeji wa taifa kamuoa dada yetu π€£ kutoka uchagani....ingawa anapenda kujiita mnyalukolo lakin jamaa ni mzaliwa pale Norwich Town....
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.
Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ameoa IringaNi maarufu sana huko YouTube,
Nadhani umaarufu wake umechangiwa na uwezo wake wa kuongea kiswahili vizuri , ameoa uchagani kama sikosei
Sijaona mahali mtoa mada kuzungumzia kumpinga au kumuonea wivu bongo zozo.shida ikowapi ila bongo mbona tuna husda sana kwani kuna shida yoyote baada ya ku feel proud jamaa anatangaza sana nchi yetu tunaanza tena kumpinga jamaa kweli bongo kuna watu wana wivu
Wakuu mnachanganya, ni tuzo za TFF sio ligi kuu, yeyote aliyejihusisha na soka alikuwa na nafasi ya kugombaniaIla inashangaza tuzo ya ligi kuu msimu ulioisha sasa bongo zozo eti kamshinda masau bwire kweli au haji manara izo sio tuzo ni ulofa na kutuona wapumbavu....
Unaelewe kipengele kilikuwa kinasemaje?hizi ni tuzo za TFF sio za ligi kuu peke yake hata timu ya Taifa inahusika. TFF inajumuisha timu zote iwe Taifa au club
Hawa ndiyo kina Blair wanakula kwa tunachoambiwa ni wasafisha nyota ππ
View attachment 1982441
Kwani Manara na Masau ni akina nani?.
Kwanza natanguliza hoja kwamba sina chuki yoyote na huyo jamaa kwa sababu hata silijui lolote linalomhusu bali pia nampongeza kwa kuhamasisha morali ya wachezaji wa Taifa Stars kwa kuhudhuria kwake mechi zao hata zile zinazopigwa nje ya nchi.
Leo ameshinda tuzo ya mhamasishaji bora wa msimu wa Tuzo za ligi iliyopita ya Vodacom (Maajabu), maana huyu yeye alikuwa Mhamasishaji wa Timu ya Taifa tu sijui huku kafikaje ila siyo kesi maana aliwahi hata kuitwa kwenye bunge la Tanzania na kupongezwa.
Swali langu ni hili, huyu jamaa ni nani katika soka la nchi hii na kwa vile nchi hii haina Uraia pacha amefuata nini?
Ila inashangaza tuzo ya ligi kuu msimu ulioisha sasa bongo zozo eti kamshinda masau bwire kweli au haji manara izo sio tuzo ni ulofa na kutuona wapumbavu....