Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Habari wana jf.
Leo nataka niseme kuwa huyu bwana anaitwa bongozozo kuna jambo analifanya na linaonekana na mwelekeo mzuri. Katika video zake nyingi kila anapopata nafasi nzuri huwa anaitangaza sana nchi yetu na vivutio vyake kwa ustadi na weledi siyo ule UJINGA UJINGA wanafanyaga baadhi ya watu wetu maarufu wanapopata platform.
Baadhi ya watu haomaarufu hata taarifa kamili za vivutio vyetu hawana kwaiyo hata wanapoongea kuhusu Tanzania wanaishia kutoeleweka so inakuwa no impact maana hawana communication skills ila kila anapofanya Bongozozo at least you feel and you can see something has been done.
Serikali kama mmejirudhisha kuwa this man is not threat to national security, basi fanyeni nae kazi, mpeni support ya kifedha na platform zaidi ili anachokifanya kilete matokeo zaidi, mpeni vijana kadhaa wa kubadilshana nae mawazo ili awe na team kama itabidi.
Msikilizeni pia nae kama ana mawazo zaidi au maono makubwa zaidi ya hichi anachofanya ili muone namna mnavoweza kuwezesha hizo ndoto ili kama ni kufungua nchi basi ifunguke zaidi maana ni wazi kabisa kuwa Tanzania siyo maarufu kama watu wengi wanavyoweza kudhani kwaiyo kazi ya kuifungua ni endelevu.
Heri ya mwaka mpya. Nchi iendeleee kufunguliwa
Leo nataka niseme kuwa huyu bwana anaitwa bongozozo kuna jambo analifanya na linaonekana na mwelekeo mzuri. Katika video zake nyingi kila anapopata nafasi nzuri huwa anaitangaza sana nchi yetu na vivutio vyake kwa ustadi na weledi siyo ule UJINGA UJINGA wanafanyaga baadhi ya watu wetu maarufu wanapopata platform.
Baadhi ya watu haomaarufu hata taarifa kamili za vivutio vyetu hawana kwaiyo hata wanapoongea kuhusu Tanzania wanaishia kutoeleweka so inakuwa no impact maana hawana communication skills ila kila anapofanya Bongozozo at least you feel and you can see something has been done.
Serikali kama mmejirudhisha kuwa this man is not threat to national security, basi fanyeni nae kazi, mpeni support ya kifedha na platform zaidi ili anachokifanya kilete matokeo zaidi, mpeni vijana kadhaa wa kubadilshana nae mawazo ili awe na team kama itabidi.
Msikilizeni pia nae kama ana mawazo zaidi au maono makubwa zaidi ya hichi anachofanya ili muone namna mnavoweza kuwezesha hizo ndoto ili kama ni kufungua nchi basi ifunguke zaidi maana ni wazi kabisa kuwa Tanzania siyo maarufu kama watu wengi wanavyoweza kudhani kwaiyo kazi ya kuifungua ni endelevu.
Heri ya mwaka mpya. Nchi iendeleee kufunguliwa