Bongozozo anaitangaza vizuri Tanzania, Serikali fanyeni naye kazi kama siyo hatarishi

Hilo ni jasusi au linapata kiki kwa kutumia nchi yetu. Kwao, wazungu hawampi fursa mtu mweusi. Kuna kinachoendelea. Ni ukoloni tu wa kawaida ambao hata tapeli kama huyu anaweza kuutumia kujinufaisha na kuwahadaa wadanganyika
 
Hakuna beberu anafanyaga kazi ya bure... tukijiridhisha na usafi na nia ya Bongozozo tutafanya nae kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…