PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Matokeo yake wanaishia kupakwa mafuta kwa kutaka umaarufu kama yule msanii wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo yake wanaishia kupakwa mafuta kwa kutaka umaarufu kama yule msanii wao.
Unawaza mzimu?Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Namfira kabisa sio kumtukana tuKuwa makini kutukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaako
Kuwa makini kutukana watu mtandaoni utakuja kumtukana kibenten wa mamaakoNamfira kabisa sio kumtukana tu
Wwalitaka kumuua huyu mwamba....kama kweli alikuwa na kesi angeitwa tu kituoni kama anavyoitagwa mara kibaoMuda mfupi baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mwanasiasa na Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesea wakati anakamatwa na Askari wa Polisi kulikuwa na purukushani kubwa kiasi cha yeye kuchaniwa nguo zake akibaki na ‘boksa’ tu.
Anasema “Nilipofikishwa Kituoni nikapewa nguo za Askari mmoja ili nijistili, wakati nakamatwa Watu waliokuwa pembeni walitishiwa na waliojaribu kurekodi walinyang’anywa simu.”
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024.
BONI YAI: NIMETOA OFA KWA BWANA JELA, KULIPIA FAINI WAFUNGWA 10
Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesema ametoa ofay a kuwlaipia faini wafungwa 10 waliopo katika Gereza la Segerea ili waachiwe huru.
Amesema hayo baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Oktoba 7, 2024.
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024
Soma pia: Boniface Jacob (Boni Yai) apatiwa Dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Unauliza mate mdomoni.Wewe usikute ni shoga
Na kuimba pambio,za kichawa.Purukushani jama hizo watoto mayai kama Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah na Suphian Juma kamwe hawaziwezi. Wao wanachoweza ni kucheza tu taarab, kwenye sherehe za UWT.
Hadi leo tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea lile jinamiziWote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Kwani yeye malaika! Mtu asifurahi kisa mtu mwingine kafa!Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Huyu ni Kamanda Kamili
Mbona hujawapongeza waliofanya huo wehuNimpongeze Boni yai kwa kuingizwa kwenye defender akiwa na chupi tu
We bwege huyo marehemu Magufuri hana cha kupoteza maana yuko kwenye pumziko la milele au jehanum.Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
eoHapo ChoiceVariable na Lucas Mwashambwa sura zimejikunja kama 'Malinda'
kituo cha polisi kuna P DIDY siku hizi, pole yake watakuwa wamempakata sana.Muda mfupi baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mwanasiasa na Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesea wakati anakamatwa na Askari wa Polisi kulikuwa na purukushani kubwa kiasi cha yeye kuchaniwa nguo zake akibaki na ‘boksa’ tu.
Anasema “Nilipofikishwa Kituoni nikapewa nguo za Askari mmoja ili nijistili, wakati nakamatwa Watu waliokuwa pembeni walitishiwa na waliojaribu kurekodi walinyang’anywa simu.”
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024.
BONI YAI: NIMETOA OFA KWA BWANA JELA, KULIPIA FAINI WAFUNGWA 10
Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesema ametoa ofay a kuwlaipia faini wafungwa 10 waliopo katika Gereza la Segerea ili waachiwe huru.
Amesema hayo baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Oktoba 7, 2024.
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024
Soma pia: Boniface Jacob (Boni Yai) apatiwa Dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu