Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Hizi akili za kucopy na kupaste,Ukute una familia na Wewe!kituo cha polisi kuna P DIDY siku hizi, pole yake watakuwa wamempakata sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi akili za kucopy na kupaste,Ukute una familia na Wewe!kituo cha polisi kuna P DIDY siku hizi, pole yake watakuwa wamempakata sana.
Mimi Huwa sijishughulishi na mambo yenu ya siasa yasiyo na msingi,hata mngepandishwa uchi ni sawa tuu Haina maana yeyote kwangu.Hapo ChoiceVariable na Lucas Mwashambwa sura zimejikunja kama 'Malinda'
Mimi Huwa sijishughulishi na mambo yenu ya siasa yasiyo na msingi,hata mngepandishwa uchi ni sawa tuu Haina maana yeyote kwangu.
Mimi tukutane kwenye takwimu za Uchumi, biashara na maendeleo kama hivi 👇👇
View: https://x.com/MoureenAbel/status/1843278052916392137?t=0GEzFpsGWlH10_vf1O2Q1g&s=19
Uchawa upi? Hakuna msimamo nilibadili,siku zote Niko hivyo hivyoItakuwa vyema kama umebadili msimamo! Maana mlikuwa ukio mmoja na Mwashambwa,hicho ulicholeta Bora kuliko ule uchawa!
Umekuwa Sasa Pokea maua Yako!Uchawa upi? Hakuna msimamo nilibadili,siku zote Niko hivyo hivyo
Unafikiri tukichukua nchi waarifu nao wawe wanakataa kutii sheria na taratibu nchi tutaiongoza? Nadhani bado atujajua mpaka leo tunahitaji nchi ya namna hipi.Huyu ni Kamanda Kamili
Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Ulivyonifahamu ndivyo nitakuwa siku zote,kuwaonesha mambo makubwa ya Samia.Umekuwa Sasa Pokea maua Yako!
for sure siwezi kukaidi kutii wala kufanya kuburi katika kutii sheria za nchi,Purukushani jama hizo watoto mayai kama Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah na Suphian Juma kamwe hawaziwezi. Wao wanachoweza ni kucheza tu taarab, kwenye sherehe za UWT.

Kwa nn walishangilia? Mbona sijaona walishangilia kifo cha Mwinyi na Mkapa?Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
MBONA video zake siku anakamatwa nyumbani kwake zilisambaa na tuliziona alivaa suruali?Muda mfupi baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mwanasiasa na Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesea wakati anakamatwa na Askari wa Polisi kulikuwa na purukushani kubwa kiasi cha yeye kuchaniwa nguo zake akibaki na ‘boksa’ tu.
Anasema “Nilipofikishwa Kituoni nikapewa nguo za Askari mmoja ili nijistili, wakati nakamatwa Watu waliokuwa pembeni walitishiwa na waliojaribu kurekodi walinyang’anywa simu.”
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024.
BONI YAI: NIMETOA OFA KWA BWANA JELA, KULIPIA FAINI WAFUNGWA 10
Mwanachama wa CHADEMA, Boniface Jacob (Boni Yai) amesema ametoa ofay a kuwlaipia faini wafungwa 10 waliopo katika Gereza la Segerea ili waachiwe huru.
Amesema hayo baada ya kuchiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Oktoba 7, 2024.
Boniface anakabiliwa na kesi ya uchapishaji 'taarifa za uwongo' kwenye Mitandao ya Kijamii kwa nia ya kupotosha umma, pia kuchapisha taarifa za uongo akiwahusisha Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Utekaji na mauaji ya Watu na kutupa miili yao Sept. 14, 2024
Soma pia: Boniface Jacob (Boni Yai) apatiwa Dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Kwani bado wanayo marinda?Purukushani jama hizo watoto mayai kama Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah na Suphian Juma kamwe hawaziwezi. Wao wanachoweza ni kucheza tu taarab, kwenye sherehe za UWT.
Asingepigana angebaki na boxer?Kule space ya Maria Sarungi si tulikubaliana ukikamatwa na polisi usikubali pigana nao ilikuaje ukabaki na boksa mkuu? Au ndo ulitest mbinu tuliyokubaliana ?
Magufuli alikuwa shetani katika umbile la binadamu.Wote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Mbowe yuko kijijini kwao huko na lema wakijaindaa na uchaguzi wa serikali za mitaa ww ch*ko umekaa kicho** jf ukiona upinzani threat mat***o yako Jiwe kufa watu wengi wakishangilia manake yy na baadhi ya aliowateua alifurah watu wakifanyiwa ubaya rejea kauli yake "wakiwa bungeni washughulikiwe iki wakitoka waje huku niwashughulikie" siku anapokea ripoti ya makinikia alismea huwez kua mnafiki afu ukasavaivu jamaa alikua akijiamini mnookuona wengine hawafai kuishi moto umwakie huko alipo moja ya rais hipeless kuwah tokeaWote walioshangilia kifo cha Magufuli watafikiwa kila mmoja kwa muda wake. Mbowe yu hoi South Africa
Kapigana au kapigika?Asingepigana angebaki na boxer?
Kamanda mti mkavu hauchimbwi dawaHuyu ni Kamanda Kamili