Pre GE2025 Boni Yai: Niliingizwa kwenye difenda nikiwa na ‘boksa’ tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni KASHIFA nzito kwa kama wangu MURIRO na wenzako wote mkoa wa Daresalaam

Tunataka kujua kama ni kweli kwa Nini polisi mlimvua nguo Boni yai akabakia uchi?
Mlikuwa na LENGO Gani?
Je ni kweli BONI YAI aliwapelekea moto baadhi ya polisi nao nguo zilichanika?tunae polisi KINONDONI anachapwa na raia?😃🤣😂😅
 
Wwalitaka kumuua huyu mwamba....kama kweli alikuwa na kesi angeitwa tu kituoni kama anavyoitagwa mara kibao
 
kituo cha polisi kuna P DIDY siku hizi, pole yake watakuwa wamempakata sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…