Pre GE2025 Boni Yai: Niliingizwa kwenye difenda nikiwa na ‘boksa’ tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
🤣🤣🤣🙏🙏🙏
 
Kuna watu naoongea nao wanaomjua Boni Yai kuwa ni kawaida yake akiwa sehemu za starehe akiona wanaune huwa anavua nguo zotevnanabaki uchi anavua hadi chupi sijui ili iweje au anataka nini au ni mtu wa upinde?

Sasa polisi kweli wa kiume walienda sehemu ya starehe alikuwa kumkamata wakaona ghafla anataka kuvua nguo zote ikiwemo chupi polisi wale wa kiume wakapambana apande defender walau akiwa na chupi lakini alikuwa mkali kama pilipili alipoona askari wa kiume akipagawa ba mashetani ya upinde polisi wa kiume wakamdhibiti

Hongera polisi kupambana na mtu wa upinde kuhakikisha walau anafika polisi na chupi

Kile alichotaka kwa polisi wa kiume hakikufanikiwa aliishia tu kuvua nguo zote polisi wakadhibidi asivue chupi
 
Kapigana au kapigika?
Yeye kapigana na wao walikuwa wengi na silaha. Kama huamini ungewaambia wamfuate mmoja mmoja bila silaha, kisha ndio ungejua tulivyo na askari mafisi.
 
Haichekeshi.
 
Yeye kapigana na wao walikuwa wengi na silaha. Kama huamini ungewaambia wamfuate mmoja mmoja bila silaha, kisha ndio ungejua tulivyo na askari mafisi.
Muhusika ushahidi anaoutoa ni kubaki na boksa tu hayo mengine ni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…