Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haamini kilichotokeaBoni Yai Nyamidevu yupo na hali gani ? Maana mwanzo nilikuwa namkubali kweli
Nilikuwa nae hapa sio muda mrefu ila ametoka kaenda chooni, sasa sijajua kama anajiharishia au la.Boni Yai Nyamidevu yupo na hali gani ? Maana mwanzo nilikuwa namkubali kweli
Na alivyo na tumbo kubwa ni hatari saanaNilikuwa nae hapa sio muda mrefu ila ametoka kaenda chooni, sasa sijajua kama anajiharishia au la.
Kife kwa mara ya pili?Chadema mmeanza kuchokonoana, muwe wavumilivu, mtakiua chama muda si mrefu
Uyu namtetea alisoma upepo mapema ,akaacha kamdomo, ndio alikua Team FAM ,hope rafiki yake Martine Maranja alimsihii apunguze kamdomo ,na afanye harakati kimia kimia .Boni Yai Nyamidevu yupo na hali gani ? Maana mwanzo nilikuwa namkubali kweli
Kuna ntobi na yule mchawiBoni Yai Nyamidevu yupo na hali gani ? Maana mwanzo nilikuwa namkubali kweli
Hii ndio shida ya baadhi ya wanachadema, uchaguzi umeisha kuna haja gani kuendelea kuwananga wengine.Chadema mmeanza kuchokonoana, muwe wavumilivu, mtakiua chama muda si mrefu
Acheni utoto. Yaani mlitaka wote wamuunge mkono Lisu? Kwanini kuanza kuwakejeli waliokuwa upande mwingine. Narudia tena kusema kama Lisu ataendekeza mitandao kisha aendeleze chuki kwa waliokuwa upande wabowe au waliompinga hatafika mbali na chama. Awalete watu pamoja na sio nyie JF kuendeleza chuki na uhasamaBoni Yai Nyamidevu yupo na hali gani ? Maana mwanzo nilikuwa namkubali kweli
Oooooh ndio maana kuna kipindi alikuwa mpole.Uyu namtetea alisoma upepo mapema ,akaacha kamdomo, ndio alikua Team FAM ,hope rafiki yake Martine Maranja alimsihii apunguze kamdomo ,na afanye harakati kimia kimia .
Duwah la kuku😂😅Kife kwa mara ya pili?
Nafikili hivyo maana mwanzo alikuja kwa moto sanaOooooh ndio maana kuna kipindi alikuwa mpole.
Siyo kimia kimiaUyu namtetea alisoma upepo mapema ,akaacha kamdomo, ndio alikua Team FAM ,hope rafiki yake Martine Maranja alimsihii apunguze kamdomo ,na afanye harakati kimia kimia .
Punguza kamdomoSiyo kimia kimia
Ni Kimya kimya
Kwa hiyo wewe utaki wenzako waende kwenye raha unataka waende kwenye moto.Acheni utoto. Yaani mlitaka wote wamuunge mkono Lisu? Kwanini kuanza kuwakejeli waliokuwa upande mwingine. Narudia tena kusema kama Lisu ataendekeza mitandao kisha aendeleze chuki kwa waliokuwa upande wabowe au waliompinga hatafika mbali na chama. Awalete watu pamoja na sio nyie JF kuendeleza chuki na uhasama
Jamaa walijiona watoto wa mjini, kete zikawa zinasogezwa taratibu wao wapo tu na kamdomoHata hvyo mbowe kawashauri viongozi wapya waweke maridhiano ikibid wasamehewe wote waliokuwa wanaongea ongea na kuandika mbovu mbovu
Je, una uhakika kuwa wanangaji ni wanachadema?Hii ndio shida ya baadhi ya wanachadema, uchaguzi umeisha kuna haja gani kuendelea kuwananga wengine.