Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

Ipo haja, kwa yeyote mwenye malalamiko yanayohusiana na vyombo vya dola vya Kitaifa kabla ya kuandika ugoro wake mitandaoni akalazimika kwanza kwenda kwenye chombo husika kupata details sahihi, ndipo aruhusiwe kwenda kuandika ugoro wake!......
N. B, Malalamiko hasa yanayohusisha kifo /vifo.
# case closed!
°Suala hili lichukuliwe haraka sana na jeshi letu.
Jeshi lipi we mgalatia
 
Ajiandae kutokea mahakamani j3.....kumkomoa alale na mafiiii selo
 
Ajiandae kutokea mahakamani j3.....kumkomoa alale na mafiiii selo
Tunaomba hadi tunalia ili Boniyai apelekwe Mahakamani , Muliro atahojiwa na Kibatala , huo ndio utakuwa mwisho wake kuuza sura kwenye mechi za Simba na Yanga
 
Alivyo na mwili wa kizembekizembe hivyo akipelekwa mahabusu si anaenda kuwa chakula
 
Dhana ya negativity mliyomezeshwa na viongozi wenu chadoma, ni shida, hamuwezi ona kama kuna lolote Zuri, maishani mwenu!
Ukishamezeshwa chadema pill, inaondoa ufahamu kwanza, inakupa msononeko wa moyo, inakupa ujuaji mwingi hata kama ni zezeta, inakupa uwana harakati njaa, once you take a pill, ubishi usio na maana ndipo huanzia!
Aina ya vidonge!
-chadema super argue pill drugs- 1
-chadema moderate pill, hii ni ya wastani, hiyo namba moja ndiyo hatari sana.
Nchi hii kama kuna laana tuliyonayo ni uwepo wa ccm.
 
Ila watanzania uchama umetupofusha Sana. Kisa Jacob watu wanaponda ukweli wa Jambo lenyewe, kwamba polisi wanahusika na kifo Cha huyo raia.

Ni majitu majinga, na mashetani ndiyo yanaona vitendo vya polisi kuwaua watu ni sahihi.

Haya majitu siku moja ndugu zao wauawe na polisi, ndiyo yataijiwa na akili.

Majaliwa alielewa uharamia wa polisi baada ya ndugu kuporwa pesa zake na polis, na kisha kuuawa.
 
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.

Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni


Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
Ila mwambie boniface apunguze mwili aache kufanya mizaha kwenye afya…
 
Nchi hii kama kuna laana tuliyonayo ni uwepo wa ccm.

CCM.ni wakala wa shetani, ndiyo maana matendo ya watu wake wengi yamejaa ushetani mtupu.

Uchaguzi unakaribia. Utawaona wanavyomiminika kuelekea Kigoma na maeneo mengine kwa wachawi eri kutafuta ushindi!!
 
Back
Top Bottom