Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
 
Hivi unaweza kukuta walioenda kumpekua wengi wamepanga na hawana mansion kama lile,
 

Attachments

  • IMG_20240311_202129.jpg
    IMG_20240311_202129.jpg
    105.6 KB · Views: 9
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Safi sana , wakutane mahakamani atatoa maelezo vizuri.
 
Kama vile Arab Spring ilivyozikumba nchi za kiArabu za Afrika ya Kaskazini Tunisia, Egypt n.k

Utawala wa Awamu ya 6 kuigiza muda uliopita wa mambo ya kiudiktekta ya utawala wa awamu 5 ni kujipalia makaa ya moto.

Tanzania ya chama dola kongwe kilichochoka kwa kuishiwa pumzi ( in Kingunge Ngombale Mwiru voice), kitegemeacho vyombo vya dola badala ya siasa zenye hoja za ushawishi lazima tsunami ya GEN-Z iinge hapa kwetu, hakuna namna ya kuzuia kundi hili kubwa la kizazi kipya kuingia mtaani ........
1726704113412.png



HABARI ZAIDI :
TOKA MAKTABA :

Njia za kuzuia au kukaribisha maandamano yasiyo na kikomo

When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule​

Conflict Prevention and Management

OUTLINE
JCM and Qatari Foreign Minister vsit Nyala

UN Photo/Albert González Farran
EXPECTED END DATE:2020•03•25PROJECT STATUS:Completed

UNU-CPR RESEARCHERS: Adam Day, Luise Quaritsch​

EXTERNAL RESEARCHERS: Dirk Druet​

Why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This paper concerns the transitions out of entrenched authoritarian rule, the often volatile moments when new leadership comes into power.​

Some transitions take place peacefully, largely within constitutional order, but others may descend into civil unrest or even escalate into all-out civil war. In support the UN’s prevention mandate, this project is driven by the question, why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This project draws on scholarship around authoritarianism and neo-patrimonial States as well as original research by United Nations University Centre for Policy Research into entrenched political systems. It identifies four key factors that may influence whether a transition tends to result in violent conflict​


Entrenched authoritarian systems are those where a leader or group has centralized power and resources in a manner that limits meaningful political and economic inclusion, instrumentalizes key State institutions, reduces democratic space and often allows a specific individual to remain in power well beyond typical constitutional limits.
  1. past forms of rule (democratic or authoritarian);
  2. the way in which a political system transitions (e.g. through a coup, election, death, transfer of power or popular uprising);
  3. the fate of the individual leader, including questions of personal property and accountability for human rights abuses; and
  4. economic performance and the degree of inequality within a given society.
It further finds that, while all regime types have experienced both violent and peaceful transitions, those that are highly personalized (vesting power in an individual rather than institutions) tend to experience greater difficulties in moving into inclusive forms of governance, which may influence longer-term prospects for peace.

In exploring a comprehensive set of cases over the past 30 years, this project also makes some broader (and often counter-intuitive) findings about the role of violence in such transitions.

The transitions that occurred with the lowest levels of violence were in systems with some of the poorest governance indicators. In fact, countries at various points on the governance scale witnessed transitions that brought about dramatic and sustained change in the distribution of power with little or no violence, a finding which suggests that the quality of governance may not be directly linked to violence levels in transitions.

In contrast, two factors did appear to correlate with relatively high levels of violence: those involving foreign intervention, and transitions triggered by public uprisings. The significant rise in frequency of popular uprisings as the dominant form of transition in recent decades has meant that transitional moments have become more prone to large-scale violence. These findings raise significant questions about the role of external actors in transitional processes, and how the international community might engage before, during and after changes in leadership.

These trends in transitions present a complex and interrelated set of challenges for the UN, which often must balance its prevention mandate alongside respect for sovereignty and host State consent. The UN is often poorly placed to ramp up its prevention activities in entrenched authoritarian systems, in part because national leadership tends to be strongly resistant to engagement on politically sensitive subjects.

Additionally, these systems tend to have weak and/or highly politicized institutions, raising dilemmas for UN efforts to build institutional capacity as a hedge against violent conflict. UN leverage over the political leadership in-country is frequently constrained, given that authoritarian leaders tend to be isolated and less susceptible to traditional forms of pressure (e.g. sanctions or moral pressure). That said, there is strong evidence from this project’s case studies that the UN has engaged in creative and impactful practices in transitional settings, helping to reduce the risks of violence and building bridges towards longer-term outcomes.

Based on these findings, the paper offers twelve conclusions and recommendations for the UN when confronted with transitional moments from entrenched authoritarian rule. READ THEM
Source : When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule - United Nations University Centre for Policy Research
767 Third Avenue, 35th Floor
New York, NY 10017
United States

.................................................................
Read More :
file-20180511-34009-xlfdmj.jpg
After 37 years, a titan falls
.................................................................
 
Vijana wa Tanzania wataandamana kudai haki kwa maandamano ya wazi

TOKA MAKTABA:

05 September 2024
Wanachama wa CHADEMA wakimsindikiza Meya wa zamani wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob, kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani. BoniYai Jacob alirejesha fomu hiyo siku Alhamisi September 5, 2024 na kusindikizwa na umma mkubwa wa vijana wa kiTanzania

1726704629202.png

Picha maktaba : 05 Sept 2024 mitaa ya jijini DSM ilipofurika vijana wakimsindikiza BoniYai
 
Sativa mwenyewe aliwataja Martin na Boniface , hatujui wanatafuta nini hasa

Ila tuache wafanye kazi yao sio kila muda wanakosea .

 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Polisi waseme Bon Yai kawakosea nini?
 
Vijana wa Tanzania wataandamana kudai haki kwa maandamano ya wazi

TOKA MAKTABA:

05 September 2024
Wanachama wa CHADEMA wakimsindikiza Meya wa zamani wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob, kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani. BoniYai Jacob alirejesha fomu hiyo siku Alhamisi September 5, 2024 na kusindikizwa na umma mkubwa wa vijana wa kiTanzania

View attachment 3100005
Picha maktaba : 05 Sept 2024 mitaa ya jijini DSM ikipofurika vijana wakimsindikiza BoniYai
LOOOooooh. Kumbe!

Sasa nimeelewa kwa nini CCM na polisi wao wanaingiwa na kiwewe na mchachato!

Ni nani asinge pata hofu na hali ya namna hii inayo jionyesha wazi kabisa.

Sasa tatizo litakuwa ni kama wanampiga chura teke. Wanalijua hili hao CCM na serikali yake?
 
LOOOooooh. Kumbe!

Sasa nimeelewa kwa nini CCM na polisi wao wanaingiwa na kiwewe na mchachato!

Ni nani asinge pata hofu na hali ya namna hii inayo jionyesha wazi kabisa.

Sasa tatizo litakuwa ni kama wanampiga chura teke. Wanalijua hili hao CCM na serikali yake?

CCM wameshaona siasa hawawezi wanatumia mbinu zisizo za kisiasa.

19 September 2024
Ni kauli ya Mbowe leo 19 Oktoba 2024

"WANAJIANDAA KUTUUA, TUNAJIANDAA KUFA!"​



View: https://m.youtube.com/watch?v=yuDafn2ieC0
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Screenshot_2024-09-19-03-40-33-39.png
 
Kosa lao kubwa polisi ni papara., Badała ya kujikita kukusanya ushahidi kwanza, wanakimbilia kuita watu.

Mauaji ya mzee Kibao, CDM kwa kushirikiana na watu waovu (genge la wahuni) serikalini wanahusika.

Sio muda mrefu utasikia yule muhuni aliekuwa kwenye bus na mzee Kibao kwenye ni marehemu.

Watch this space

Hiyo network ya wauwaji si jambo la kusumbua nchi nyingine, ni Tanzania tu.
 
Back
Top Bottom