Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Apelekwe Mahakamani.
Sio kuuawa na Wageni wasiojulikana. Kuna watu kwa sasa ndani ya vyombo vya dola na serikali wanafanya kazi kwa mihemko na hasira na chuki za kisiasa na kaudini dini ndani lakini na kamwe hawataki kufuata sheria wala Katiba ya nchi.
Kijitabu tu.
Lakini ukisema biblia au Kuran ni kijitabu tu pataibuka mgogoro na taharuki kubwa sana na vurugu .
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Leo Alhamisi, mahakamani lini
 
Hivi unaweza kukuta walioenda kumpekua wengi wamepanga na hawana mansion kama lile,
Nyumba unaongelea jambo kubwa sana kwa polisi. Hata mikanda na viatu walivyovaa vimechakaa mno (ngozi iliyotumika kutengeneza imefikia expiry date).

Na polisi wengi wake zao ni mama wa nyumbani. They are leading hopeless life.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
kwamba hiyo kiburi ndio anaona ni ya maana sana,

hata iwe namna gani, korokoroni atalala, na mahakani atakwenda vile vile bila mbambamba yoyote 🐒
 
unadhani ni mara yake ya kwanza kulala mahabusu wewe ndio unaona ajabu
hakuna habari ya kudhani katika masuala ya kiusalama..

ikiwa wewe ni suspect of crime, utakamatwa na utakwenda korokoroni bila kujali ni mara ya yako ya 30 au 40 kulala kororoni...

hiyo lazima ieleweke hivyo gentleman 🐒
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Mwamba yupo vizuri sn
 
Apelekwe Mahakamani.
Sio kuuawa na Wageni wasiojulikana. Kuna watu kwa sasa ndani ya vyombo vya dola na serikali wanafanya kazi kwa mihemko na hasira na chuki za kisiasa na kaudini dini ndani lakini na kamwe hawataki kufuata sheria wala Katiba ya nchi.
Kijitabu tu.
Lakini ukisema biblia au Kuran ni kijitabu tu pataibuka mgogoro na taharuki kubwa sana na vurugu .
Hawa ni hatari sn
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni, Mwamba Kabisa, Boni Yai, amehitimisha sekeseke la kukamatwa kwake kinyama pale Hotelini, kwa kukataa kutoa maelezo Polisi na kuahidi kikakamavu kwamba, Maelezo hayo atayatolea Mahakamani, siku yoyote atakayopelekwa.

Hivyo ndivyo ilivyokuwa na ndivyo itakavyokuwa.

Soma Pia

- Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo
Nani atawalisha kuku?
 
Back
Top Bottom