Ya mahabusu ni kama hospitali kila mtu anaweza kwenda , na tusipaogope walioko huko ni binadam pia ,ametoa jibu zuri.
(
Siku mkiamua nipeleka mahakamani nitatolea majibu yangu huko)
Ndugu zangu ni vyema toa maelezo yako mahakamani kuliko toa police , naunga mkono.
Note :hii njia ya machawa wachache na majinga ambayo yapo kumuadaa rais , ili kuwa karibu au kujipendekeza ili kulinda matumbo yao , nawambieni nchi inaelekea kwenye mtetemo mkubwa ,Bwana ananiambia siku zangu 47 bado kuisha ,mtashangaa