Boniface Jackob akataa kutoa Maelezo Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Njoo hapa utwambie ulivopekua umekuta nini
 

Attachments

  • 20240919_163615.jpg
    84.1 KB · Views: 1
Mimi ningekua boni yai ningepumzika Sasa maana naona gharama za kufanya harakati za UPINZANI TANZANIA malipo ni mabaya mno
 
Aibu Yao wenyewe,ccm imeishiwa pumzi.Sema tu wanalindwa na Kenge wenye njaa ambao wao wanatetea ajira zao.Wanasahau kuwa,ajira zao ni za kudumu,ila nyadhifa za kisiasa sio za kudumu.
Wanashindwa kujielewa vyombo vyao Dola kuwa.
Vinatakiwa Kila raia afuate akatiba.Maana hata Rais ni raia ambaye amepewa kuwaongoza raia wenzake kwa kufuata kanuni na taratibu.
Ifikie vyombo vya Dola vijitafakari.
Askari unapewa oda na mwanachama wa chama cha siasa nawe kama nyumbu unafata.

Nafasi za kisiasa waachwe wanasiasa wanyukane wenyewe kwa wenyewe maneno sarakasi.
Maana ndo kazi aliyoichagua.
Kazi ya misuguano hekaheka za sera.

Sio busara kutumia Silaha au washika Silaha katika mambo ambayo uliyaomba kwenye hadhara.
Vyombo vya Dola acheni uzwazwa takataka nyie.

Kumbukeni Kuna kuishi,kuzeeka na kufa.
Kamwangalieni Mseven au Kagame🫣🫣🫣

Wameshakuwa jua la jiooooooooooni.
Ubabe wa nn,kwenye mambo yaliyo hadhalani.

Hutaki kukosolewa,basi acha siasa,kafanye kazi za kitaaluma.
 
Ni haki mtuhumiwa kupelekwa mahakamani.
na vile vile si Lazima akapelekwa mahakamani pia,

huenda ni katika kazi na majukumu ya vyombo vya ulinzi kujiridhisha tu na jambo au taarifa fulani. Sasa kiburi na ujeuri sijui wa nini dah, bangi bana 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…