Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Haya sasa mko humu kuongelea Nondo. Hivi hamuoni huu ni mchezo. Atekwe kwa lipi?

Mbona mnakuwa wazito kujumlisha na kutoa hii hesabu. Mnaacha kumuongelea Soka na Mdude mnamuwazia sijui nondo.

Hii ni daganganya toto Nanyi mmeingia box. Upinzani bongo ni sarakasi mweh

Aicitii na sisiem na sisiem ni aicitii.

Uongozi wa chama cha pande ile kurukia habari bila kuichambua. Kuna watu wanakula mkwanja kuigiza. Haya Sasa mmeambiwa kaokotwa kapele kwa ofwisi.
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
eti hajiwezi kwa lolote huku akiongea kwa shida, dah!!

sasa hii su chumvi kabisa ya magadi mchana kweupe 🐒
 
Haya sasa mko humu kuongelea Nondo. Hivi hamuoni huu ni mchezo. Atekwe kwa lipi?

Mbona mnakuwa wazito kujumlisha na kutoa hii hesabu. Mnaacha kumuongelea Soka na Mdude mnamuwazia sijui nondo.

Hii ni daganganya toto Nanyi mmeingia box. Upinzani bongo ni sarakasi mweh

Aicitii na sisiem na sisiem ni aicitii.

Uongozi wa chama cha pande ile kurukia habari bila kuichambua. Kuna watu wanakula mkwanja kuigiza. Haya Sasa mmeambiwa kaokotwa kapele kwa ofwisi.
ITV wametangaza Nondo ametekwa. Wewe unasema atekwe kwa lipi? Kuna watu wamefuga makas kichwan
Kama utekaji unaruhusiwa katika hii nchi basi nami nakusanya detail zako nije nikuteke ukanichumie kisamvu
Kama mtu amevunja sheria kuna utaratibu wa kumkamata mtu na siyo kutekana.
Ni muhimu watu wamiliki bastola hata SMG ili tujilinde dhidi ya watekaji.
Unazeeka vibaya kama FaizaFoxy
 
Saa nyingine unakuta mganga wao anawaambia tunataka damu ya fulani,au muntese fulani ndio majini yatafurahi.Hawa watu wanaotegemea hivi vitu vya kipuuzi wanafanya mengi yasiyoeleweka.Ee Mungu tusaidie
 
Inasikitisha sana ,sasa wamepata faida gani? Wamemuua kibao ,wamemuua Ben saanane then?? Uchafuzi wanajipakulia minyama wao ,sasa si bora tu waendelee kufanya uchafuzi huku wananchi wakibaki salama?
Halafu anatokea mwehu mmoja anataka kifo cha Dr Ngungulile aliyefia ushuani huko kiombolezwe na makabwela...manina wallah
 
ITV wametangaza Nondo ametekwa. Wewe unasema atekwe kwa lipi? Kuna watu wamefuga makas kichwan
Kama utekaji unaruhusiwa katika hii nchi basi nami nakusanya detail zako nije nikuteke ukanichumie kisamvu
Kama mtu amevunja sheria kuna utaratibu wa kumkamata mtu na siyo kutekana.
Ni muhimu watu wamiliki bastola hata SMG ili tujilinde dhidi ya watekaji.
Unazeeka vibaya kama FaizaFoxy
Mkuu karibu chama la wana,nakutunuku nishani ya afisa makasiriko msaidizi wa Jf. Idara ya wasiopenda upuuzi. Jambo baya likimfika mwanamwema mwenye mawazo mbadala kwenye mustakhabali wa uongozi wa nchi linashabikiwa na wana ccm....wasichokijua ni kwamba hili ombwe likiishamaliza walioko mstari wa mbele kukosoa,litawarudia chawa wake ambao siku zote walikua wapiga zumari na hapo ndipo kitakuwapo kilio kikuu kishiriki.
 
Haya sasa mko humu kuongelea Nondo. Hivi hamuoni huu ni mchezo. Atekwe kwa lipi?

Mbona mnakuwa wazito kujumlisha na kutoa hii hesabu. Mnaacha kumuongelea Soka na Mdude mnamuwazia sijui nondo.

Hii ni daganganya toto Nanyi mmeingia box. Upinzani bongo ni sarakasi mweh

Aicitii na sisiem na sisiem ni aicitii.

Uongozi wa chama cha pande ile kurukia habari bila kuichambua. Kuna watu wanakula mkwanja kuigiza. Haya Sasa mmeambiwa kaokotwa kapele kwa ofwisi.

Hata Ally Kibao alipotekwa mlisema maneno haya. Ila kesho yake alipokutwa aneuawa mkakaa kimya. Acheni kujifanya wajuwaji wakati watu wanatekwa. Baada ya kulaumu serikali wewe unalaumu wanaotekwa.
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Lakini Mchinjita anasema ameokotwa coco beach, mbna mnasema mabo ya kujichanganya?
 
Back
Top Bottom