Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
 
Kama anaamini ni Mchengerwa wewe ni sababu zipi zinazokufanya umpinge, kama wamezinguana Twitter na huyo fala Mchengerwa jinsi system inavyoendeshwa ki-Mafia hilo linawezekana kuwa kahusika kama suala zima si drama from word go.
Wangapi wanaongea tu Twitter?
 
Mmeelewa sasa issue za watu kufa kariakoo ungeshaona kila kiongozi , wasanii , mitandao ya kijamii zinamake headline ila hili hutakaa usikie hili limezungumziwa na media au kujadiliwa na kiongozi yeyote. Tunakua na matamko kwenye majanga kwa sababu inawabeba kisiasa
Hili hata waandishi wa habari huji kusikia walijadili 🤣🤣
Uchungu unaotokana na majanga ni uchungu sawa na huu wa watu kupotezwa , kuuwawa , kupigwa au kufanyiwa vitendo vya kikatili na wamemrudisha kwa sababa kina zitto wamepiga sana kelele
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Mimi naamini samia anajua kila kitu , hebu kumbuka story ya sativa yule afande Mafwele hadi watu wanamtaja jina ila ikapita huyu Nondo hadi wameona plate number , hadi majamaa wakadondosha Pingu ! 🤣🤣 Ila watajifanya hawaoni , haya mzee kibao alivyochukuliwa kama utani vile
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Hahahaha jinga hili yanatekana mwenyewe kwa mwenyewe haha dogo kala kipondo toka kwa ayatola zitto hahaha
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Kwa hiyo kumbe Chadema ni haki yao kutekwa?
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Si useme tu unadhani ni bomu gani linatengenezwa na akina nani hao ???!
Au na wewe ni muoga kama mimi ??! 😂😅🤦🏽‍♂️

Maana tuliambiwaga labda mambo yaharibike zaidi 😳🙄 !
Je ndio kwa namna hii ????!!
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Juzi wamemaliza kuiba kura sasa wameanza kuiba watu na kuwatesa. Mungu anawaona.
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Kwa hiyo unamaanisha Chadema ni haki yao kutekwa kwa sababu ya hulka yao ya kutusi viongozi?
Kwa mantiki hiyo unataka kutuambia kuwa wanaoteka(watekaji) kumbe ni viongozi (serikali)??
 
Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Kwahiyo huyu hauoni sababu ya yeye kutekwa ila kwa wale wa CHADEMA unaiona sababu na uhalali wa wao kutokwa kwasababu ya lugha zao za maudhi na dharau.?

Kivyovyote vile utekaji hauwezi kuwa sawa, na kama suluhisho ni kutekana basi waondoe vyombo vyote vya usimamizi wa sheria.
 
Haya sasa mko humu kuongelea Nondo. Hivi hamuoni huu ni mchezo. Atekwe kwa lipi?

Mbona mnakuwa wazito kujumlisha na kutoa hii hesabu. Mnaacha kumuongelea Soka na Mdude mnamuwazia sijui nondo.

Hii ni daganganya toto Nanyi mmeingia box. Upinzani bongo ni sarakasi mweh

Aicitii na sisiem na sisiem ni aicitii.

Uongozi wa chama cha pande ile kurukia habari bila kuichambua. Kuna watu wanakula mkwanja kuigiza. Haya Sasa mmeambiwa kaokotwa kapele kwa ofwisi.
Maliza kwanza Mp, sijui umeandika nini bibie akisomeki
 
Back
Top Bottom