Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Binafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.

Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.

Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.

Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Kiukweli wanamchafua Rais, Act mbona wako poa
 
I
nitaimba milele huu wimbo kama kuna viumbe wa hovyo Mungu aliumba basi ni watu weusi, wahindi na waarabu.
Imebidi nicheke tu
Maana umefikiria mbali sana 😂😂😂😅😀
Duh 🙄 ! Umekaribia kaukweli ukweli fulani hivi !
Lakini hata Wazungu wana mabaya yao ila ya hao uliowataja yamevunja records zote za Duniani ! 😳😱🤦🏽‍♂️
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram

Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.

"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

View attachment 3166864
Bora wamempeleka ofc za chama kuliko kumuacha koko Beach, hospitali ilitakiwa wakatoe maelezo polisi kwanza
 
Mmmh !!!!!!!!!! 😱🤦🏽‍♂️
Naona hii ni kama kutaka kumchafua mtu ili aonekane hafai au hatoshi 😳🙄 !
Naikumbuka ile kauli kwamba LABDA MAMBO YAHARIBIKE ZAIDI 😳🙄

Ngoja tuone 😱🤦🏽‍♂️ !
Hii theory hata mimi ninayo muda mrefu sana. Kuithibitisha ni muda wa kuchukua fomu. kukiwa kimya theory itakosa nguvu
 
ni muhimu sana kuzingatia uzoefu katika katika songombingo za kujiteka ili isijekuleta fedheha?

na ile taarifa ya kiongozi wa chama kwamba kijana mzoefu wa kujiteka yupo korokoroni na gari sijui la nani limebadilishwa number plate zilikua ni drama, right?🐒
Ndugu acha masikhara kwenye roho za watu sisi sote tunakipenda chama lakini ukweli lazima usemwe kwa mwendo wa sasa wa jeshi la Polisi unaogopesha kwa kweli Jeshi letu la Polisi kwa sasa haliaminiki na linaogopwa na Wananchi si Jeshi rafiki tena
 
wAAYu9E.jpg
 
Watanzania tunapitia wakati mgumu sana kwenye huu utawala. Unaambiwa mwendo ni huu huu hadi 2030, Mungu atunusuru tu maana kwa unyumbu wetu sisi si lolote mbele ya huu utawala.
Mpaka 2030 Watanganyika wengi tutapotea
 
Amegeuka kuwa katili sana.... Mungu ahusike kwenye hili

Mwenyewe anakwambia hajawahi kuua hata sisimizi ... inaonyesha ni jinsi gani haelewi impact ya utawala wake.

hajui kuwa as much as wanamuhusisha na Mafanikio yake (Mama anaupiga Mwingi) ajue pia kuwa na mabaya yote yanayotokea kwa sasa pia yanamuhusu. That's how the GAME works..!!
 
Back
Top Bottom