Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli wanamchafua Rais, Act mbona wako poaBinafsi nimesikitishwa sana na tukio la huyu dogo kutekwa Kwa sababu Kwa muda niliowafahamu na kuwafuatilia ACT Wazalendo hawajawahi kuwa na Lugha za maudhi ,dharau au kutukana viongozi kama Chadema unless mnisahijishe.
Wanafanya saisa za ukosoaji za kistaarabu Sasa Kwa nini atekwe? Angekuwa mtu wa Chadema nisingestuka Kwa sababu ya hulka yao.
Pole sana Kwa dogo ila kama ukosoaji tuu haitakiwi basi Hali si Hali.
Kuna watu wanamtengenezea mama Bomu,subirieni mtakuja kuona.
Sasa uliposema ingekuwa Chadema usingestuka kwa hulka yao ya kutusi viongozi ulimaanisha nn?Serikali haihusiki labda watu wa Vyama mnaoshindania vyeo na madaraka.
Mmmh ! 😱Maswali ni mengi kuliko majibu
Imebidi nicheke tunitaimba milele huu wimbo kama kuna viumbe wa hovyo Mungu aliumba basi ni watu weusi, wahindi na waarabu.
Bora wamempeleka ofc za chama kuliko kumuacha koko Beach, hospitali ilitakiwa wakatoe maelezo polisi kwanzaHatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.
Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram
Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.
"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".
Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
View attachment 3166864
Waswahili Wanasemaga mchelea mwana kulia hulia yeye ! 😳🙄Mtu wa kwanza kukuchafua ni wewe mwenyewe kisha watu wengine
Utadhani watu wamerogwa hivyo vitu wanavyogombania mpaka kutekana hata havieleweki..Au kama Haiti 🇭🇹 ???! 😳
Hii theory hata mimi ninayo muda mrefu sana. Kuithibitisha ni muda wa kuchukua fomu. kukiwa kimya theory itakosa nguvuMmmh !!!!!!!!!! 😱🤦🏽♂️
Naona hii ni kama kutaka kumchafua mtu ili aonekane hafai au hatoshi 😳🙄 !
Naikumbuka ile kauli kwamba LABDA MAMBO YAHARIBIKE ZAIDI 😳🙄
Ngoja tuone 😱🤦🏽♂️ !
Ndugu acha masikhara kwenye roho za watu sisi sote tunakipenda chama lakini ukweli lazima usemwe kwa mwendo wa sasa wa jeshi la Polisi unaogopesha kwa kweli Jeshi letu la Polisi kwa sasa haliaminiki na linaogopwa na Wananchi si Jeshi rafiki tenani muhimu sana kuzingatia uzoefu katika katika songombingo za kujiteka ili isijekuleta fedheha?
na ile taarifa ya kiongozi wa chama kwamba kijana mzoefu wa kujiteka yupo korokoroni na gari sijui la nani limebadilishwa number plate zilikua ni drama, right?🐒
Hakika 👍Hii theory hata mimi ninayo muda mrefu sana. Kuithibitisha ni muda wa kuchukua fomu. kukiwa kimya theory itakosa nguvu
Drama, si alishasema jamaniRais sa100 umeshindwa kulinda raia wako kama ulivyoapa kwa kutumia katiba na msaafu? Raia wanapotea kama kuku na hakuna anayejali
Mpaka 2030 Watanganyika wengi tutapoteaWatanzania tunapitia wakati mgumu sana kwenye huu utawala. Unaambiwa mwendo ni huu huu hadi 2030, Mungu atunusuru tu maana kwa unyumbu wetu sisi si lolote mbele ya huu utawala.
Amegeuka kuwa katili sana.... Mungu ahusike kwenye hili