Boniface Jacob (Boni Yai) apatiwa Dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Boniface Jacob (Boni Yai) apatiwa Dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

Kumbe hao mawakili wasomi hawana lolote mpaka utashi wa hakimu hongera sana mahakama kutofanya kazi kwa mihemko!
 
Wenye Akili Kubwa tunajua tu kuwa ilikuwa apatiwe Dhamana hii tokea Wiki iliyopita ila Mamlaka kutoka Juu yenye Nguvu hadi Mahakamani huko ilitaka Kwanza ijihakikishie kama yale Maandamano hayapo kabisa na Usalama ni wa Kutosha ndipo wamwachie kwani angeachiwa Wiki iliyopita huku bado kukiwa na Vuguvugu la Maandamano angeweza kuleta Ushawishi mkubwa ukizingatia Jacob nae ana Nyota ya Kipekee ya Kiushawishi japo Watanzania wengi tunamuangusha kwa ama Uwoga wetu au Upumbavu Tukuka wetu au Uchawa wetu.
Kweli watawala waoga wanaogopa maandamano
 
Kapendeza alivonyolewa yai umependeza na ndevu zimepata rutuba kwakula dona umekuwa yai yai kweli ongella zako.ì
 
Kapendeza alivonyolewa yai umependeza na ndevu zimepata rutuba kwakula dona umekuwa yai yai kweli ongella zako.ì
Dona ndilo lenyewe sio haya masembe ya kina Lukas Mwashambwa na tlatlaah!
 

Leo, Jumatatu Oktoba 07.2024 Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imekubaliana na hoja za utetezi kuhusu pingamizi la kutopatiwa dhamana lililokuwa limewekwa na Jamhuri/serikali dhidi ya aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye Ubungo, Dar es Salaam Boniface Jacob (Boni Yai), hivyo mwanasiasa huyo amepatiwa dhamana inayoendana na masharti yatakayowekwa kwenye shauri la msingi, ambalo sasa linaendelea.

Maamuzi hayo madogo ndani ya kesi ya msingi yametangazwa Mahakamani hapo na Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam ambapo shauri hilo lililetwa Mahakamani hapo kwa ajili ya kusomwa hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi.

Jambo TV

Pia soma: Serikali yakwamisha tena dhamana ya Boniface Jacob (Boni Yai)
Baada ya mission kufeli ndiyo wanamwachia? Walitamani akute uchaguzi umepita au aangushwe akiwa korokoroni! Pumbavu kabisa!
 
View attachment 3117697
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa dhamana kwa aliyekuwa Meya wa Ubungo na mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Boniface Jacob.

Boniface anakabiliwa na kosa la kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa kijamii.
Kwa hiyo ukiwa na midevu gerezani hawainyoi?
 
Back
Top Bottom