Inawezekana kadanganya bunge japo si hakika, lakini inashangaza kuona na wewe kwa umahiri mkubwa unapotosha umma...NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya
johnthebaptist kiukweli Butimba TC ni Kituo cha NECTA kwa Private Candidates (O-LEVEL $ A-LEVEL) kwa miaka mingi tu. Sasa huyu Boniphace Jacobo anawahadaa wasiojua. Kwa kifupi Mh. Nape hakusoma darasani form six bali alifanya kama Private Candidate pale Butimba.Butimba TTC
Kuna wakati mama Gaudensia Kabaka Mwenyekiti mstaafu wa UWT alikuwa mkuu wa Chuo pale
Private Candidate hufanya Mitihani popote pale usiteseke sana Boniyai π
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye
Nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL katika shule ya BUTIMBA TCC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college).
Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ukweli ni kwamba BUTIMBA TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania alijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "BUTIMBA TCC SECONDARY SCHOOL"
BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na Kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.
Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (Kutwa) ya BUTIMBA SEKONDARI SCHOOL (BUTIMBA DAY) ambayo kidacho cha Kwanza waliingia mwaka 2000 na Kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.
Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 Mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya BUTIMBA TCC.
Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma BUTIMBA TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.
Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye,Picha ya Pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.
Naomba kuwasilisha.
NAMALIZIA UTAFITI kuhusu Shahada ya Sheria pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA anayosoma Nape Moses Nnauye.
Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za Direct Entry za
1."Principal mbili" za ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL ..?
2. Credit mbili za O-level ( History na English language Kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU..?
3. au Mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya sheria..?
Au mtafuta kuwapa lawama LAW SCHOOL OF TANZANIA..,
( Kaka ana madiploma Mengiiiiiiiii lakini hayana uzito)
4. au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU...? Siyo kama BANGALORE UNIVERSITY YA INDIA πππ
La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya Kujiunga na elimu ya Juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania Wengine..?
View attachment 2841228View attachment 2841229
Je,chadema ni kama nyumbu?NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye
Nisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.Makorokocho yote ulioandika yanafutwa na hoja Moja tuu. KITUO CHA PRIVATE CANDIDATE CHUONI HAPO KILIKUWEPO MIAKA MINGI
Sasa kwa nini wasiseme ukweli walikuwa mambwiga badala ya kung'ang'ania vyeti na Ph.D zisizowastahili.Watu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Nape anafanya vizuri kwenye siasa ??Watu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Naunga mkono hojaLicha ya hiyo ya elimu, pia amedanganya Rais kuwa yupo vizuri kichwani wakati sio kweli. Nape ni mpayukaji tu
Mwenzio Ben yalimkutaNipo APA nafikiria elimu ya Samia, naona yuko na PhD
Mbowe amedanganya? Ona huyo akili fupiDuh duh, Jacob ana uhakika na hili kweli?
Hii nchi, nae Mbowe Form 6 kala yai, yaani kazungusha, Mbowe kapata Div 0 yeye kaamua kukaa kimya na Zero yake halali, kwenye mambo ya Elimu, Mbowe huwezi sikia akingoea kitu, kimya kabisa ila kwenye makelele ya siasa makelele mengi, hawa watu wenye makelele au utendaji mbovu elimu zao ni tatizo sana, wewe fuatilia wapiga kelele wengi iwe Chama chochote utaona tu elimu hakuna.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Oops ! Jamaa Alimbana Mzilankende Kuhusu Maganda Ya Korosho Mpaka Vumbi Likatimka Hatukuonana Tena Tena Mpaka Kesho
Watani wa jadi!NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye
Nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL katika shule ya BUTIMBA TCC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college).
Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ukweli ni kwamba BUTIMBA TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania alijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "BUTIMBA TCC SECONDARY SCHOOL"
BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na Kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.
Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (Kutwa) ya BUTIMBA SEKONDARI SCHOOL (BUTIMBA DAY) ambayo kidacho cha Kwanza waliingia mwaka 2000 na Kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.
Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 Mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya BUTIMBA TCC.
Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma BUTIMBA TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.
Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye,Picha ya Pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.
Naomba kuwasilisha.
NAMALIZIA UTAFITI kuhusu Shahada ya Sheria pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA anayosoma Nape Moses Nnauye.
Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za Direct Entry za
1."Principal mbili" za ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL ..?
2. Credit mbili za O-level ( History na English language Kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU..?
3. au Mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya sheria..?
Au mtafuta kuwapa lawama LAW SCHOOL OF TANZANIA..,
( Kaka ana madiploma Mengiiiiiiiii lakini hayana uzito)
4. au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU...? Siyo kama BANGALORE UNIVERSITY YA INDIA πππ
La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya Kujiunga na elimu ya Juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania Wengine..?
View attachment 2841228View attachment 2841229
Si Kuna MRADI wa waalimu walikuwa wanawanoa kama tuition na baadaye kafanyia mtihani hapo hivyo unataka kusema A level kasoma wapi tofauti na KITUO alichofanyia mtihani?Nisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.
Wewe ukifanya mtihani hapo Gangilonga kama Private candidate matokeo yakitoka utaandikiwa umesoma Gangilonga Secondary school?Butimba TTC
Kuna wakati mama Gaudensia Kabaka Mwenyekiti mstaafu wa UWT alikuwa mkuu wa Chuo pale
Private Candidate hufanya Mitihani popote pale usiteseke sana Boniyai [emoji23]
Ufafanuzi gani zaidi ndugu kwamba huelewi private candidate ni nini?Nisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.
Kwani nape kadanganya?Mbowe amedanganya? Ona huyo akili fupi
Swali ni moja tu na hujalijibu. Butimba TTC Secondary school ilikuwepo 1998-2000? Au kituo cha mtihani kilisajiliwa kikiitwa Secondary school?Hivi vyuo zamani vilikuwa vimesajiliwa kama vituo vya mitihani Kwa ajili ya watahiniwa binafsi yaani private candidates na vilisaidia wengi hasa wale waliokosoa ada na wale waliokuwa wamekosa nafasi ya kuchaguliwa moja Kwa moja kwenda A level shule za serikali. Nape ni mmoja wa wanufaika wa mpango huu ambao upo kisheria. Mara nyingi watu wanajiandaa na mtihani sehemu tofautitofauti na mnakutana tu wakati wa mitihani. Hao aliosoma nao huo mwaka hata awatafute vipi hatafanikiwa kuwaona isipokuwa Wachache waliokuwa wanamjua. Zaidi hoja yake Ina dhamira ya kumchafua kisiasa na si vinginevyo