Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Boniface Jacob: Bunge limedanganya kuhusu elimu ya Nape Nnauye

Vilaza kama hawa ndio wanaosaini mikataba mibovu na kuiingizia nchi hasara
 
Nisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.
Private candidate wanafundishwa pake kama tution wakijiandaa na mitihani
 
Wasomi wengi wa kanisa wapo hivyo, hapo wamekaa tuh kusubiri nafasi waibe,hawana tija na Taifa hili
 
Hii imenikumbusha wakati fulani, kuna yule bwana sijui anaitwa Msemakweli alitengeza kabisa kitabu cha watu mashuhuri aliowaita wana vyeti vyenye mashaka.
 
Kinachotambulika ni Kituo ulichofanyia mtihani

Uwage unaelewa na wewe!
Sikuona kwenye maelezo ya wasifu wa waziri huyo kuihusisha TTC kuwa kituo cha kufanyia mtihani.
Haya maswali nayaelewa vizuri sana mkuu 'johnthebabtist', maisha yangu kwa kirefu chake yametumika huko.
Tanzania tumeporomoka sana kama viwango tunavyojivunia sasa ni vya hawa akina Neppy. Hawa ndio wanaowaharibia na wengine wenye sifa sahihi kielimu.
 
Je,chadema ni kama nyumbu?

Butimba TCC (Tanzania Cigartte Company au TTC (Teachers' Training College)?
Yaani hujui maana ya PC?
Kenge wewe.
Hata hivyo tunahitaji watu wenye akili zaidi na siyo wenye mavyeti zaidi.
Bahati mbaya Nape Hana vyote, akili zero na cheti Hana.
 
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE

Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw. Nape Moses Nnauye nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.

Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi Butimba TCC (Butimba teacher's college).

Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.

Ukweli ni kwamba Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania halijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "Butimba TCC Secondary School".

Butimba TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.

Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (kutwa) ya Butimba Secondary School (Butimba Day) ambayo kidato cha kwanza waliingia mwaka 2000 na kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.

Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya Butimba TCC.

Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma Butimba TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.

Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye, picha ya pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.

Naomba kuwasilisha.

Namalizia utafiti kuhusu Shahada ya Sheria pale Open University of Tanzania anayosoma Nape Moses Nnauye.

Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za direct entry za;

1. "Principal mbili" za Advanced Certificate of Secondary School?

2. Credit mbili za O-level (History na English language)

(Inawezekanaje mwanafunzi huyo) kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU?

3. Au mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya Sheria? Au mtafuta kuwapa lawama Law School Tanzania

Kaka ana madiploma mengiiiiiiiii lakini hayana uzito!

4. Au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU, siyo kama Bangalore Universitu of India? 😂😂😂

La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya kujiunga na elimu ya juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania wengine?

View attachment 2841228View attachment 2841229
Vilaza!
 
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE

Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw. Nape Moses Nnauye nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.

Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi Butimba TCC (Butimba teacher's college).

Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.

Ukweli ni kwamba Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania halijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "Butimba TCC Secondary School".

Butimba TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.

Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (kutwa) ya Butimba Secondary School (Butimba Day) ambayo kidato cha kwanza waliingia mwaka 2000 na kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.

Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya Butimba TCC.

Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma Butimba TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.

Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye, picha ya pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.

Naomba kuwasilisha.

Namalizia utafiti kuhusu Shahada ya Sheria pale Open University of Tanzania anayosoma Nape Moses Nnauye.

Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za direct entry za;

1. "Principal mbili" za Advanced Certificate of Secondary School?

2. Credit mbili za O-level (History na English language)

(Inawezekanaje mwanafunzi huyo) kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU?

3. Au mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya Sheria? Au mtafuta kuwapa lawama Law School Tanzania

Kaka ana madiploma mengiiiiiiiii lakini hayana uzito!

4. Au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU, siyo kama Bangalore Universitu of India? 😂😂😂

La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya kujiunga na elimu ya juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania wengine?

View attachment 2841228View attachment 2841229
It seems like He's not Educated but he's ONLY Certificated.
 
Back
Top Bottom