Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Private candidate wanafundishwa pake kama tution wakijiandaa na mitihaniNisaidie mimi binafsi nielewe vizuri. Mleta mada kasema 'inasemwa' nape kasoma pale kati ya 1998 na2000. Wewe unazungumzia kituo cha private candidate. Nilivyoelewa hujajibu hoja ya mleta mada, bali umekuja na hoja mpya kwamba nape alifanyia mtihani pale kama private candidate. Hebu njoo na ufafanuzi p'se.
Siyo kweli,hata Dr Mpango?Watu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Hao wote ni watendaji bora kabisa lakini siyo WanasiasaSiyo kweli,hata Dr Mpango?
Hata Prof Lipumba?
Hata Dr John Pombe Magufuli?
Then ingesomeka kama Butimba TTC Center na siyo Secondary school. Nafikiri huo utofauti ndiyo unaogomba na una- nullify kila kitu.Huenda alifanya mtihani kama Private Candidate.
Kwenye pilau mbuzi wamebobea Sana ingawa cjui kwa sasa coz cjatembelea muda mrefu...Umenikumbusha pilau la hao jamaa.
Sikuona kwenye maelezo ya wasifu wa waziri huyo kuihusisha TTC kuwa kituo cha kufanyia mtihani.Kinachotambulika ni Kituo ulichofanyia mtihani
Uwage unaelewa na wewe!
Bahati mbaya Nape Hana vyote, akili zero na cheti Hana.Je,chadema ni kama nyumbu?
Butimba TCC (Tanzania Cigartte Company au TTC (Teachers' Training College)?
Yaani hujui maana ya PC?
Kenge wewe.
Hata hivyo tunahitaji watu wenye akili zaidi na siyo wenye mavyeti zaidi.
Registration yake ni S na sio P( Private)Makorokocho yote ulioandika yanafutwa na hoja Moja tuu. KITUO CHA PRIVATE CANDIDATE CHUONI HAPO KILIKUWEPO MIAKA MINGI
Vilaza!NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw. Nape Moses Nnauye nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi Butimba TCC (Butimba teacher's college).
Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ukweli ni kwamba Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania halijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "Butimba TCC Secondary School".
Butimba TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.
Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (kutwa) ya Butimba Secondary School (Butimba Day) ambayo kidato cha kwanza waliingia mwaka 2000 na kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.
Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya Butimba TCC.
Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma Butimba TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.
Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye, picha ya pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.
Naomba kuwasilisha.
Namalizia utafiti kuhusu Shahada ya Sheria pale Open University of Tanzania anayosoma Nape Moses Nnauye.
Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za direct entry za;
1. "Principal mbili" za Advanced Certificate of Secondary School?
2. Credit mbili za O-level (History na English language)
(Inawezekanaje mwanafunzi huyo) kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU?
3. Au mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya Sheria? Au mtafuta kuwapa lawama Law School Tanzania
Kaka ana madiploma mengiiiiiiiii lakini hayana uzito!
4. Au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU, siyo kama Bangalore Universitu of India? 😂😂😂
La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya kujiunga na elimu ya juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania wengine?
View attachment 2841228View attachment 2841229
It seems like He's not Educated but he's ONLY Certificated.NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw. Nape Moses Nnauye nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya Advanced Certificate of Secondary School katika shule ya Butimba TTC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi Butimba TCC (Butimba teacher's college).
Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ukweli ni kwamba Butimba TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania halijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "Butimba TCC Secondary School".
Butimba TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.
Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (kutwa) ya Butimba Secondary School (Butimba Day) ambayo kidato cha kwanza waliingia mwaka 2000 na kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.
Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya Butimba TCC.
Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma Butimba TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.
Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye, picha ya pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.
Naomba kuwasilisha.
Namalizia utafiti kuhusu Shahada ya Sheria pale Open University of Tanzania anayosoma Nape Moses Nnauye.
Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za direct entry za;
1. "Principal mbili" za Advanced Certificate of Secondary School?
2. Credit mbili za O-level (History na English language)
(Inawezekanaje mwanafunzi huyo) kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU?
3. Au mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya Sheria? Au mtafuta kuwapa lawama Law School Tanzania
Kaka ana madiploma mengiiiiiiiii lakini hayana uzito!
4. Au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU, siyo kama Bangalore Universitu of India? 😂😂😂
La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya kujiunga na elimu ya juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania wengine?
View attachment 2841228View attachment 2841229