Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli
Kama ni rahisi na wewe funga Goli la mkono 😄Hawa wanasiasa wa CCM, ni nani anafanya vizuri katika siasa? Goli la mkono ndiko kufanya vizuri katika siasa.
Tunaongozwa na failures na majizi ndiyo maana nchi haiendi popote.
Amenikumbusha kuna Mwamba alitoa kitabu cha Mafisadi wa Elimu,sijui yupo wapi yule Mwanaharakati!NDio maana unatafutwa mkuu!!!
Ukihoji elim za vigogo ni hatari!!
Sasa na wewe unapocomenti uwe na uhakika kama alifanya kama Private Candidate au School Candidate na kama ni Private Candidate je Butimba imesajiliwa na NECTA kama PC Centre? Yaani uwe na jibu linaloeleweka kama huna katafiti kwanza mkuuButimba TTC
Kuna wakati mama Gaudensia Kabaka Mwenyekiti mstaafu wa UWT alikuwa mkuu wa Chuo pale
Private Candidate hufanya Mitihani popote pale usiteseke sana Boniyai [emoji23]
NAPE KALIDANGANYA BUNGE KUHUSU ELIMU YAKE.
Katika kufanya Utafiti wangu kuhusu mapitio (background) ya elimu ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya habari Bw.Nape Moses Nnauye
Nimeshtuka kuona Bunge linatangaza Waziri Nape Moses Nnauye amepata Elimu ya ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL katika shule ya BUTIMBA TCC mwaka 1998 hadi mwaka 2000.
Nimelazimika kuwatafuta Walimu wenzangu waliosoma na kufanya kazi BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college).
Wameshangaa na kushtushwa na taarifa ya Bunge inayohusu elimu ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ukweli ni kwamba BUTIMBA TCC haijawahi kuwa na shule ya Sekondari mwaka 1998 wala katika tovuti ya Baraza la Mitihani Tanzania alijawahi kusajili Shule ya Sekondari na kuipa mitihani mwaka 1998 hadi 2000 kwa Jina la "BUTIMBA TCC SECONDARY SCHOOL"
BUTIMBA TCC (Butimba teacher's college) ilianzishwa mwaka 1939 na wakoloni na Kujengwa shule ya msingi ya mazoezi (Teaching Practice) na wakoloni wenyewe kwa ajili ya mafunzo kwa Vitendo kwa Wanafunzi wa Ualimu.
Hata hivyo 28 January 2000 serikali ilianzisha shule mpya ya sekondari (Kutwa) ya BUTIMBA SEKONDARI SCHOOL (BUTIMBA DAY) ambayo kidacho cha Kwanza waliingia mwaka 2000 na Kumaliza mwaka 2003 kidato cha nne.
Ambapo kwa mujibu wa tovuti ya Bunge Nape alikuwa ameshamaliza kidato cha 6 Mwaka 2000 latika Shule ya Sekondari ya BUTIMBA TCC.
Lakini kubwa zaidi inaonyesha Nape Moses Nnauye hakusoma BUTIMBA TCC elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne bali alisoma kidato cha tano na cha sita katika Shule ambayo haipo wala haijawahi kuwepo.
Pichani ni tovuti ya Bunge kuhusu elimu ya Nape Moses Nnauye,Picha ya Pili ni kuhusu usajili wa Sekondari wa Butimba Day mwaka 2000.
Naomba kuwasilisha.
NAMALIZIA UTAFITI kuhusu Shahada ya Sheria pale OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA anayosoma Nape Moses Nnauye.
Imewezekanaje mwanafunzi aliyekosa qualificayion za Direct Entry za
1."Principal mbili" za ADVANCED CERTIFICATE OF SECONDARY SCHOOL ..?
2. Credit mbili za O-level ( History na English language Kusoma Sheria kinyume na Kanuni za TCU..?
3. au Mwanafunzi aliyekosa Equivalent qualifications za Diploma yenye G.P.A yenye 3.0 and above anawezaje kujiunga na Shahada ya sheria..?
Au mtafuta kuwapa lawama LAW SCHOOL OF TANZANIA..,
( Kaka ana madiploma Mengiiiiiiiii lakini hayana uzito)
4. au Bachelor degree kutoka Chuo kinachotambulika na TCU...? Siyo kama BANGALORE UNIVERSITY YA INDIA 😂😂😂
La sivyo TCU mtuambie mtu akiwa CCM au Kiongozi wa Serikali Vigezo vya Kujiunga na elimu ya Juu kwake havizingatiwi sawa na Watanzania Wengine..?
View attachment 2841228View attachment 2841229
Inasemekana hata aliyeng'atuka chamani majuzi alizungusha Malangali, anyway Nape hana kipya wala siasa hajui anajua uongo tuWatu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Boniyai ndio amfanyie UtafitiSasa na wewe unapocomenti uwe na uhakika kama alifanya kama Private Candidate au School Candidate na kama ni Private Candidate je Butimba imesajiliwa na NECTA kama PC Centre? Yaani uwe na jibu linaloeleweka kama huna katafiti kwanza mkuu
Sifa ya mgombea uraisi kuwa na degree ipo kwenye latina au kitu gani? Ni sheria gani hiyo inayomtaka mgombea uraisi awe na degree?Tunajiumiza vichwa bure! Utaratibu wa Chama chetu, ni kuwa, sifa mojawapo ya kugombea U Rais, ni lazima uwe na japo Digirii moja. Na hiyo sifa, ilimkimbiza mzee wa Kiraracha, Mrema.
Sasa jee, huyu Rais wetu, wakati anaukwaa U Rais, alikuwa na Elimu hiyo?
Gari linakwenda, tushukuru tunasafiri salama tu!
Anajadiliwa kwa incompetence yakeKama hafanyi vizuri mbona mnamjadili hapa 24/7?
Sugu, Mbowe, Lema wote walizungusha ujue 😂Inasemekana hata aliyeng'atuka chamani majuzi alizungusha Malangali, anyway Nape hana kipya wala siasa hajui anajua uongo tu
Mkuu hebu acha uongo bhna nimefanya kazi maeneo hayo ya Butimba Miaka hiyo Nape anayosema kulikuwa na Secondary..Kiukweli ilikuwepo Shule ya Msingi Butimba ambayo ilikuwa ikitumika kama shule ya mazoezi ya Walimu..Tatizo chadema ni wajinga sana. PC wamefanya pale mitihani, kuna kituo cha mitihani. Wakati tunasoma pale chuo na Mh Waziri Mkuu Majaliwa, wapo watu walikuwa wanafanya mitihani pale ya ACSEE. Aache ujinga, huo muda akafanye mazoezi apungue.
Mbowe na lema watoe mkuu Lema ni very bright na nadhani alipata one au two kama sikoseiSugu, Mbowe, Lema wote walizungusha ujue 😂
😂😂😂Mbowe na lema watoe mkuu Lema ni very bright na nadhani alipata one au two kama sikosei
Magufuli alikuwa mtu wa forgery kila mahali.Oops ! Jamaa Alimbana Mzilankende Kuhusu Maganda Ya Korosho Mpaka Vumbi Likatimka Hatukuonana Tena Tena Mpaka Kesho
PhD za kuandikiwa na ma Lecturers, toa Tsh 10 Million kwa Lecturer unapata kama ile ya Selemani Jaffo au Dotto BitekoElimu za baadhi ya wabunge ni za kuunga unga mno, ndiyo sababu utasikia mtu ni darasa la 7 au form 4 failure lakini anamiliki PhD
Nakubaliana na wewe 100 % .... but this is only in Tanzania!!Watu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo