Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Tunahitaji viongozi wenye elimu sahihi regardless wanatoka chama ganiSugu, Mbowe, Lema wote walizungusha ujue 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahitaji viongozi wenye elimu sahihi regardless wanatoka chama ganiSugu, Mbowe, Lema wote walizungusha ujue 😂
Avuliwe Gamba TuMimi ningekuwa ndiye Nape ningejiuzulu kabla ya saa 12 jioni
CCM Hilo Neno Huwa Hawataki Kabisa KulisikiaTunahitaji viongozi wenye elimu sahihi regardless wanatoka chama gani
Kuna ushahidi wa hili Kaka?PhD za kuandikiwa na ma Lecturers, toa Tsh 10 Million kwa Lecturer unapata kama ile ya Selemani Jaffo au Dotto Biteko
Elimu sahihi ndio ipi?Tunahitaji viongozi wenye elimu sahihi regardless wanatoka chama gani
Umeliona Hata WeweNepi ni tatizo kuubwa sana.
Inasomewa CCM Hasa Ukiwa Na Gamba HujalivuaElimu sahihi ndio ipi?
Elimu ni Fikra tu za Wajanja wa Dunia zinazoingizwa kwa WatwanaInasomewa CCM Hasa Ukiwa Na Gamba Hujalivua
Ushahidi ni kwamba; Biteko na Jaffo walikuwa fulltime kwenye majukumu ya uwaziri wakati wa Magufuli. Je walipata wapi muda wa kukusanya data, kufanya tafiti na kuandika hiyo PhD. !! Jiulize halafu nipe majibu hapaKuna ushahidi wa hili Kaka?
Lema nimesoma nae acha kudanganya ummaMbowe na lema watoe mkuu Lema ni very bright na nadhani alipata one au two kama sikosei
Alikula ngapi mkuu!Lema nimesoma nae acha kudanganya umma
Samia hana shida na mtuMwenzio Ben yalimkuta
Lakini hakuna mahali wamedanganya elimu yao. Mambo hayo yako CCM tu.Sugu, Mbowe, Lema wote walizungusha ujue [emoji23]
Ndiyo maana alikuwa ana wiva na MakondaMagufuli alikuwa mtu wa forgery kila mahali.
Huyu ni lipi zuri kafanya kwenye siasaWatu Wote wanaofanya Vizuri kwenye Siasa darasani walikuwaga mambwiga
Fanya Utafiti utagundua hilo
Tuko na Nappe na Jacob hao wengine aachana nao tunajua wako wengi ila kwa leo hawana nafasiDuh duh, Jacob ana uhakika na hili kweli?
Hii nchi, nae Mbowe Form 6 kala yai, yaani kazungusha, Mbowe kapata Div 0 yeye kaamua kukaa kimya na Zero yake halali, kwenye mambo ya Elimu, Mbowe huwezi sikia akingoea kitu, kimya kabisa ila kwenye makelele ya siasa makelele mengi, hawa watu wenye makelele au utendaji mbovu elimu zao ni tatizo sana, wewe fuatilia wapiga kelele wengi iwe Chama chochote utaona tu elimu hakuna.