LGE2024 Boniface Jacob: CCM wamechagua mwisho mbaya

LGE2024 Boniface Jacob: CCM wamechagua mwisho mbaya

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hili jambo linafikirisha sana.. cha ajabu usalama wanashirikiana na hawa waovu
 
Trends indicate......Not likely to happen in TZ !!
 
Nchi imekuwa ukiwa, hatuna haki ya kumchagua tumtakaye,tunapangiwa tutake tusitake!
Ni kikundi cha watu fulani "sydicate" kwa maslahi yao kwanza, then wananchi baadae, mikataba mibovu inapingwa hadharani na Wanazuoni nguli wa sheria na viongozi wa dini, lakini kikundi hiki hakiambiliki!..hali ya maisha imekuwa ngumu, hatupaswi kuuliza, Mikataba inaingiwa na kiuhalisia haibebi taswira ya kumsaidia Mtanzania (Inatupa wajibu kuliko haki).

Mahakama na bunge nao wamekuwa upande wa kikundi hiki, kwa kifupi watanzania wamekaa na vinyongo na hawana option zaidi ya kujilalia zao majumbani huku "syndicate" ikitia tick majina ya watu wao,kulipana posho na kesho kujitangazia ushindi wa kishindo!

Then business as usual, 2025 mitano tena, hakuna jipya, hadi iyo siku itapofika.
 
Watanzania kwa sasa wamekosa kiongozi wa kuongoza kudai nchi yao!

Siku akipatikana mpinzani wa kweli akiwaambia wapambane nina uhakika watapambana na hili CCM wanalijua.

Ndiyo maana CCM nguvu yao kubwa ni kuzorotesha chama chochote cha upinzani chenye mwenendo mzuri.
 
Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.

Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.

1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .

2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi

3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.

4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.

5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.

6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.

Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?

Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"

Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.

MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.

Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.

Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM

Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.

View attachment 3162905

C&P Boniyai
ni kosa la kisayansi katika siasa kupeana moyo na mstaafu wa muda mrefu kama huyo,

kivyovyote vile mazingira, mawazo na mitazamo yenu itakua ni tofauti mno kama vile ardhi na mbingu...

ni kujichosha tu au kupiga stories na porojo za pata potea ama kupotezea muda 🐒
 
Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.

Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.

1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .

2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi

3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.

4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.

5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.

6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.

Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?

Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"

Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.

MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.

Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.

Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM

Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.

View attachment 3162905

C&P Boniyai
CCM ni genge la hatari sana kwa watanzania!
 
Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.

Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.

1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .

2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi

3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.

4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.

5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.

6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.

Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?

Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"

Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.

MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.

Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.

Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM

Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.

View attachment 3162905

C&P Boniyai
Vita ya boniyai na tanpol ni kubwa sana
1732736711526.jpeg
 
Back
Top Bottom