Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majobless na watu walipigika kiuchumi.Ishu je ni kundi lipi ktk jamii litaanzisha hilo vuguvugu?
Nafatilia Maandiko yako Mkuu Yana utabiri mwingi wa Hali ya SasaWatanzania ni watu poa sana piece sana,hivyo hili haliwezi kutokea Tanzania Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
P
Asante DR Mambo Jambo , ila mimi sio mtabiri ni trends reader, tusubirie 2025 kama HII sauti ni sauti ya kweli !Nafatilia Maandiko yako Mkuu Yana utabiri mwingi wa Hali ya Sasa
Hili andiko Nililisoma Na Natabiri kama Makonda hatagombea Mwaka Huu Kigamboni bhasi Ni rais mwaka 2025Asante DR Mambo Jambo , ila mimi sio mtabiri ni trends reader, tusubirie 2025 kama HII sauti ni sauti ya kweli !
P
Hakuna kinachodumu mileleWatanzania ni watu poa sana piece sana,hivyo hili haliwezi kutokea Tanzania Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
P
Japo Its true, kila lenye mwanzo, lina mwisho, ila hili la CCM kutawala milele,ni kweli!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.Hakuna kinachodumu milele
Kama JPM angekuwepo Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!Hili andiko Nililisoma Na Natabiri kama Makonda hatagombea Mwaka Huu Kigamboni bhasi Ni rais mwaka 2025
ni kosa la kisayansi katika siasa kupeana moyo na mstaafu wa muda mrefu kama huyo,Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.
Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.
1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .
2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi
3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.
4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.
5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.
6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.
Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?
Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"
Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.
MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.
Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.
Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM
Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.
View attachment 3162905
C&P Boniyai
Endelea kukufuru MunguJapo Its true, kila lenye mwanzo, lina mwisho, ila hili la CCM kutawala milele,ni kweli!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
CCM ni genge la hatari sana kwa watanzania!Jana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.
Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.
1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .
2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi
3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.
4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.
5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.
6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.
Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?
Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"
Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.
MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.
Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.
Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM
Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.
View attachment 3162905
C&P Boniyai
Vita ya boniyai na tanpol ni kubwa sanaJana usiku nimempigia Mzee mmoja mstaafu wa serikali aliyewahi kuhudumu kama msaidizi wa mambo ya ulinzi na usalama wakati wa Rais Julius Kambarage Nyerere.
Nimemlalamikia namna serikali ya CCM,CCM yenyewe na vyombo vya dola jinsi vilivyochezea uchaguzi wa serikali za mitaa tangu zoezi la uandikishaji,uteuzi na hata kuelekea kupiga kura na kutangaza washindi.
1.Mzee amesema kila kitu kinatokea kwa sababu,moja ya sababu ya CCM kuharibu uchaguzi ni Wananchi kukosa Imani na wa CCM kiasi cha kukosa ushawishi na kutochagulika tena .
2.Kama kuna kosa CCM watakuja Kulijutia ni Kutengeneza Mazingira ya lazima kwa Wananchi Kukosa Imani na Uchaguzi; kwa sababu Wananchi Wataiondoa CCM bila ya Kusubiri tena au Kutumia Uchaguzi
3.CCM ikiondolewa bila uchaguzi madarakani hali itakuwa mbaya sana,kwakuwa wataondolewa kwa njia ya machafuko.
4.CCM ikiondolewa kwa machafuko hawatopata nafasi ya kuendelea Kubakia na mali zao,uhuru wao na huenda hata uhai wa baadhi ya Viongozi wao au makada wao.
5.Ubaya wa Kuondolewa madarakani kwa machafuko hakutegemei muda kiasi gani kama ilivyo muda wa uchaguzi ,Mtawala anaweza Kujitangazia ushindi wa Kishindo October alafu umma ukamuondoa kwa nguvu mwezi December ili mradi Wananchi wawe wamekuchoka.
6.Kazi ya Usalama wa Taifa ilikuwa ni kama Kamisaa wa mchezo awapo uwanjani,ilikuwa ni kuangalia na Kuzuia CCM wasivuke mipaka yao katika kutawala na kubashiri hatari inayokuja mbele ili wasije kufanya Wananchi watafute njia mbadala ya Kuwaondoa madarakani nje ya uchaguzi.
Swali langu kwa Mzee likuwa Je Watanzania hawa Bongolala ndiyo wanaweza Kuiondoa CCM madarakani kwa nguvu..?
Mzee amenijibu kuwa hakuna mtu mbaya Duniani kama mtu mpole na unayefikiri ni mjinga. kwa sababu siku akichukua hatua inakuwa ni "SURPRISE"
Kuna nchi zilikuwa na Wananchi wajinga kuliko hawa wa Tanzania lakini siku waliyo badilishia watawala Kibao,hakuna Jeshi lilitosha kuzuia umma wa Wananchi hao kuingia barabarani.
MAzee anaiona hali hiyo inakuja Tanzania, na wala haiko mbali sana,anafikiri pamoja na Uzee wake,lakini anaweza Kushuhudia hali hiyo kabla Mwenyezi Mungu ajachukua uhai wake.
Mzee anamalizia kwa kusema furaha ya CCM juu ya uovu huu unaoendela katika chaguzi ni ya muda mfupi sana,laiti wangejua kinachokuja mbele yao wasinge jaribu Kulivua chupi Taifa na Kulibaka hadharani kiasi hiki.
Taifa litakosa uvumilivu na kuamua kujitetea,ghazabu ya Wananchi itakuwa Juu ya CCM
Anasikitika kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kuchagua hatima yao mbaya.
View attachment 3162905
C&P Boniyai
Noma kilo botoHili andiko Nililisoma Na Natabiri kama Makonda hatagombea Mwaka Huu Kigamboni bhasi Ni rais mwaka 2025
Fanya kazi dogo. Ajira zipo za kumwaga labda kama huna uwezo kaongeze uwezo. Siku hizi hawaajiri vyeti tuUkosefu wa ajira + hali ngumu ya kiuchumi = maandamano ya kuitoa ccm madarakani , maandamano mpaka ikulu