Pre GE2025 Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano

Pre GE2025 Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CHADEMA hakika ni chama cha kweli watetezi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kidemokrasia huku ushawishi wao kwa umma unavutia sana.

Kumsindikiza kwa wingi meya mstaafu Boniface Jacob leo imedhihirisha ushawishi wa chama hiki cha kisiasa kwa umma mpana
1725540445639.png
 
CHADEMA hakika ni chama cha kweli watetezi wa masuala ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kidemokrasia huku ushawishi wao kwa umma unavutia sana.

Kumsindikiza kwa wingi meya mstaafu Boniface Jacob leo imedhihirisha ushawishi wa chama hiki cha kisiasa kwa umma mpana
View attachment 3087841
Mwisho wa ccm kanda ya Pwani umefika Rasmi!
 
Mwisho wa ccm kanda ya Pwani umefika Rasmi!

Sasa moto wa kutoka nyikani Ngorongoro umefika mjini Dar es Salaam na utawaka miji mingine kuamsha haki za kiraia katika kuamua mustakhabali wa taifa lao kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (ya watu) CHADEMA, hatimaye kuchukua dola iliyotekwa na chama dola kongwe ili mamlaka ya wananchi yarudi mikononi mwa raia badala ya genge la wachache ndani ya CCM kuwafanya wananchi matekaAt na wakimbizi ndani ya nchi yao.

ALUTA CONTIÑUA, MAPAMBANO YA KURUDISHA MAMLAKA KWA WANANCHI YAMEANZA.
 
Sasa moto wa kutoka nyikani Ngorongoro umefika mjini Dar es Salaam na utawaka miji mingine kuamsha haki za kiraia katika kuamua mustakhabali wa taifa lao kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (ya watu) CHADEMA, hatimaye kuchukua dola iliyotekwa na chama dola kongwe ili mamlaka ya wananchi yarudi mikononi mwa raia badala ya genge la wachache ndani ya CCM kuwafanya wananchi matekaAt na wakimbizi ndani ya nchi yao.

ALUTA CONTIÑUA, MAPAMBANO YA KURUDISHA MAMLAKA KWA WANANCHI YAMEANZA.
Safari hii moto utawaka
 
Nasikitika sana kuona chadema inakufa taratibu.
 

Meya zamani wa Kinondoni na Ubungo, ambaye ametangaza kugombea Uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, amepanga kurejesha fomu ya kugombea uongozi huo kwa Maandamano.

Leo aliitwa Polisi Kanda Maalum ili kueleza kwanini anarejesha fomu kwa maandamano, baada ya Ufafanuzi Polisi wameahidi kuyalinda.

Maandamano hayo kabambe yataanzia Manzese, Yatapita Tandale na Kuingia Mwananyamala na Hatimaye yataishia Kinondoni Zilipo Ofisi za Kanda ya Pwani.

Soma Pia: Meya wa Zamani wa Ubungo na Kinondoni Boniface Jackob, atangaza nia kugombea Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani

Wote Mnakaribishwa.
Mwaisa.
 
Back
Top Bottom